Mnatupa wakati mgumu saana.

Ukipata jibu nitag

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Mkuu wacha kabisa, sijui imekuwaje mpaka kuna mabadiliko namna hii. Kwa kweli tunachanganyana sana wajameni.
 
Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!

Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!
🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…