Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nisaidieni napokwamia malegendary.Mkuu unakwama wapi? Na ww njoo na ID yako mpya then nenda kazame PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Good for you.
Nilijua zimeisha kabisa. Ila zinatutosha mie nawe hadi tutakapo fikia mwafaka.
Ni wapya mkuu,wasikupe wakati mgumuHapana mkuu...mbona unataka kunigombanisha na warembo.
Mie swali langu hawa ni wapya au ni wale wale wa zamani?
HmmmmUlitaka nisipaone? Mie hata ukikaa uchi mbele tangu naonaga sehemu moja tu.
hahahahah hiyo thread itaishi sana yaan.Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!
Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!
Kwani Sakayo ni kigori????Ule uzi na ww unaupitiaga kumbe kigori?