Mnatupa wakati mgumu saana.

Mnatupa wakati mgumu saana.

Wangu hauwezi kuwa mzuri hivyo jamani!
Unaandika vizuri sana
Mimi simu ninayotumia ni mbovu nini?
Mimi naona huu mwandiko ni wa times new roman.
Font size 12
Line spacing ni 1.5 ambao na wewe unatumia hivo hivo Sakayo.
 
Usithubutu mkuu ni wale wale w 3013 wamekuja kwa ids vipya na picha za warembo wabichi hhaha..
joking
Hivi wakuu nyie mnapata wakati mgumu kama ninaoupata mimi? Hizi IDs za kuanzia 2017 hadi leo 2019 zenye vipost chini ya buku na hazijawahi kuanzisha uzi mnaendaje nazo sambamba nyie?

Halafu zote zina miandiko mizuri mizuri viavatar vizuri na viemoj vizuri vizuri.

Hata ukisema ujaribu kutongoza unajisemea usikute ni fulani yule kaja kwa sura mpya.

swali langu nyie ni wapya au wale wale? Mliobahatika kuingia vyumbani vipi ni wale wale au hawa wapya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wangapi walifanikisha kwako kimasihara?[emoji1787]
Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!

Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!

Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!
😂😂😂😂nimecheka kifala
 
Mimi simu ninayotumia ni mbovu nini?
Mimi naona huu mwandiko ni wa times new roman.
Font size 12
Line spacing ni 1.5 ambao na wewe unatumia hivo hivo Sakayo.
Natumia huo huo dear!
Lakini wewe unaandika vizuri zaidi
 
Back
Top Bottom