crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
kuwa unapata wakati mgumu kujua babe wako kama ashaleta ushuda kwenye uzi wetu pendwa ila ID ndo inakuchanganyaUnacheka nini eti jamani
Yaani mwandiko naona kabisaa ni wa kwake! Ila ukicheki ID si yake kabisaa!!kuwa unapata wakati mgumu kujua babe wako kama ashaleta ushuda kwenye uzi wetu pendwa ila ID ndo inakuchanganya
😂😂😂😂aisee muache azidi kutupa ujuziYaani mwandiko naona kabisaa ni wa kwake! Ila ukicheki ID si yake kabisaa!!
Sasa wewe kama avatar yako mdada anakulilia hata hujali kabisa!! Nani atathubutu kuleta pua yake sasa mkuu?!Aisee kumbe heshima, kuwa judged na kudate hapa watu wanaangalia mwandiko na Avatar ?
What a psychology.
No wonder wengine hatupati demu humu, kumbe issue ni Avatar !!
Kabisaa yaan mahaba dabo dabo imajinii enheee ukija kwa ID ya sakayo mahaba ukija na ID ya Kivuruge mahaba tenaKwamba nitapendwa mara mbili mtu mmoja
Daaahhh!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee muache azidi kutupa ujuzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisaa yaan mahaba dabo dabo imajinii enheee ukija kwa ID ya sakayo mahaba ukija na ID ya Kivuruge mahaba tena
Asante Daniel
Umejua kuniweza[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].Natumia huo huo dear!
Lakini wewe unaandika vizuri zaidi
Kwa kweli mwaka mpya itabidi uanze kwa Avatar mpya.Sasa wewe kama avatar yako mdada anakulilia hata hujali kabisa!! Nani atathubutu kuleta pua yake sasa mkuu?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo yale ya kudanganyana ukinikuta mbinguni unaniwowa tena!
I don't buy this.So Do I
For sure mamii tecno w3I don't buy this.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umejua kuniweza[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].
Asante dear[emoji7]
KhaaaNan kaanza kudanganya sasa hapo kama sio ww mwenye ID mbili mm ntasema nmekariri mwandiko wako
Unapishana na bahati mkuu!! Du ze nidifuliKwa kweli mwaka mpya itabidi uanze kwa Avatar mpya.
Tunapoteza bahati hivi hivi.
Brand kubwa hiyo mimi nilidhani y2 kama mimiFor sure mamii tecno w3
😂😂😂😂aisee kwaiyo wewe na babe wako mpo JFDaaahhh!!
Napata tabu mimi