Mnauhakika Wachezaji Stars wanaitaka AFCON?

Mnauhakika Wachezaji Stars wanaitaka AFCON?

Tawire

Member
Joined
Apr 21, 2022
Posts
32
Reaction score
64
Habari za jioni wakuu?

Kwa jinsi wachezaji wa Taiga Stars wanavyocheza ni kana kwamba wamelazimishwa kushiriki mashindano haya,wanamgomo wa chini kwa chini dhidi ya uongozi.

Team haina maelewano,wachezaji hawana stamina,poor physic.

Feisal Salum anafunga goli lakini binafsi haamini kama angeweza kufunga.

Strikers wanaliogopa goli la wapinzani,yaani mpaka aibu.
 
ngoja tuone watafika wapi
Hawawezi kufika mbali. Kitu chochote ili ufanikiwe vizuri, kinahitaji utulivu wa akili.

Wengine wanacheza mpira huku mawazo yapo kwa ndugu zao au marafiki au majirani zao waliotekwa. Au kama wana jamaa zao ambao ni wadau wa siasa, hawajui kama muda huo wanaocheza, hao ndugu zao wapo salama au wataendelea kuwa salama. Wacha wakamilishe ratiba, inatosha.
 
Habari za jioni wakuu?

Kwa jinsi wachezaji wa Taiga Stars wanavyocheza ni kana kwamba wamelazimishwa kushiriki mashindano haya,wanamgomo wa chini kwa chini dhidi ya uongozi.

Team haina maelewano,wachezaji hawana stamina,poor physic.

Feisal Salum anafunga goli lakini binafsi haamini kama angeweza kufunga.

Strikers wanaliogopa goli la wapinzani,yaani mpaka aibu.
Nadhani jibu umelipata mkuu
 
Habari za jioni wakuu?

Kwa jinsi wachezaji wa Taiga Stars wanavyocheza ni kana kwamba wamelazimishwa kushiriki mashindano haya,wanamgomo wa chini kwa chini dhidi ya uongozi.

Team haina maelewano,wachezaji hawana stamina,poor physic.

Feisal Salum anafunga goli lakini binafsi haamini kama angeweza kufunga.

Strikers wanaliogopa goli la wapinzani,yaani mpaka aibu.
JF imejaa wajuaji! Ulitaka Stars ipoteze uje kukazia uzi wako ila aibu imekukuta. Ulitaka wachezaji wafanyeje zaidi ya hicho walichofanya? Angalau ungezungumzia ubutu wa strikers ungeeleweka.
 
Back
Top Bottom