Mnavyotuonesha mkiwakamata watuhumiwa mtuoneshe pia wakiwa wanahukumiwa

Mnavyotuonesha mkiwakamata watuhumiwa mtuoneshe pia wakiwa wanahukumiwa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yaani siku mkipenyezewa taarifa kuna mhalifu haraka ma tv mshajaza, magazetini nk.

Siku wanahukumiwa mtuonyeshe pia hizo adhabu na somo zaidi ya kutuonyesha pale mnapomkamata mtuhumiwa.

Nilishtuka mkoa mmoja polisi mkubwa anasema wabakaji wanaachiwa ama wanashinda kesi kutokana na mashahidi kugoma kutoa ushahidi.

Sasa wanagoma huyo mbakaji kajileta mwenyewe anyway.
 
Back
Top Bottom