Mnawachukuliaje madereva wanaopiga honi hovyo?

Mnawachukuliaje madereva wanaopiga honi hovyo?

Nilikuwa napendekeza iwekwe system ambayo ukipiga honi na mafuta yanaisha kama nusu lita kwa kila honi nafikiri hawa jamaa wangeacha kabisa huu ujinga
Hapo hadi sehemu yenye ulazima wa kupiga honi watatoa vichwa nje na kupiga mayowe.
 
Taa ya kijani imewaka tu, kuna mtu huko nyuma anaanza kupiga honi hovyohovyo.

Sehemu ambayo anaweza msubiri mwenzake apite, yeye ameshapiga honi.

Kuna cases nyingi nimeziona madereva wanapiga honi bila ya ulazima.

Binafsi naona ni watu waliokosa subira, wengine sidhani hata kama ni madereva sahihi wa kujua matumizi na mipaka ya kupiga honi.

Naudhika sana mtu anavyonipigia honi bila sababu ya msingi.

Wewe unawachukuliaje watu wa aina hiyo?
Huwa sichoki kusema sisi waendesha vyombo vya moto wa Tanzania wengi wetu ni hovyo,Madereva ni wachache mnoooo.Mtu akinipigia horn mahali ambapo siyo sahihi kiufupi ndo huwa namkera zaid otherwise ukiwasikiliza utapata ajali ya kuletewa.
 
India ukifundishwa kuendesha gari kitu cha kwanza unafundishwa kupiga honi kwa fujo.

Kwa hio madereva wa wanaopiga honi hovyo hovyo hapa bongo hua nawaona ni ma genius flani na ndio maana hua nawapa stiff middle finger.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umenikumbusha mbali, ila nilishawahi kuchomoa fuse ya honi kwny gari ya kaka angu maana ukipanda ni lazma ukereke.
 
Hujakutana na horn za zhongtong climber wewe,,,,jamaa angu mmoja aliingia mtaroni kisa golden deer
 
Nataka nifunge honi ya zhong ton kwny passo yangu imekaaje hii inawezekana watalamu
 
Mwamba unazichukia IST kishenzi[emoji16][emoji16]
Maisha ni kupanga mzee Baba asikuteshe, kwa IST yako, Kuna siku nimeenda yadi kule morocco, wale wahindi na fedha zao zote, wanamiliki IST, sema sisi Ushamba na umaskini ndiyo unaotusumbua, gari ni hitaji la mtu.
 
Mimi mkuu wala sitishiki...tuna enjoy tu hapa maisha

Nb:sina hata mkokoteni
Maisha ni kupanga mzee Baba asikuteshe, kwa IST yako, Kuna siku nimeenda yadi kule morocco, wale wahindi na fedha zao zote, wanamiliki IST, sema sisi Ushamba na umaskini ndiyo unaotusumbua, gari ni hitaji la mtu.
 
Mimi mkuu wala sitishiki...tuna enjoy tu hapa maisha

Nb:sina hata mkokoteni
Ha,ha, ha Kunywa soda nitalipa mkuu, hata mimi nawatetea tu, wenye umiliki wa gari hizo kwa jua hili, nimejisajiri na Daladala tu.
 
Back
Top Bottom