Long tym kwakwel, Two two Seven,Life Goz on,Neibar,Living single, fresh Prince of Bell Air n Family Maters.Watoto wetu, Lea Mwana( Husna) Vitimbi,Vihoja Mahakaman.
Perfect strangers da kile kipindi nilikipenda kuna jamaa kazi yake ilikuwa kuharibu situation tu.Maigizo Tz walianza wakina bocha na sumbi baadae kidogo wakaja wakina mzee Jongo,Janja,wakina Nyakomba,mama Hambiliki ,Onyango hao wote walitoka RTD.Hyo ilikuwa ITV
kwa taaluma ipi mkuu?Ni mhadhiri chuo kikuu
Misanya bingi yupo wap huyu jamaa daah
Ni mhadhiri chuo kikuu