Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Nimekula kuku wa KFC jana, kwakweli nilikuwa dissapointed mno, ile hype yote niliyokua naisikia haikuwa na ukweli upande wangu.
Kuku hana ladha ni mafuta tu. Angalau chipsi zao ndo zina ladha. Au mnasemaje wadau ambao mshawahi kula hii kitu?
Kuku hana ladha ni mafuta tu. Angalau chipsi zao ndo zina ladha. Au mnasemaje wadau ambao mshawahi kula hii kitu?