Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nimekuona na kuku wakiwa wamekaa mitindo mbalimbali wengine wamemwaga radhi hapo kwa sahaniUmeniona hapo mwanzoni mwanzoni kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuona na kuku wakiwa wamekaa mitindo mbalimbali wengine wamemwaga radhi hapo kwa sahaniUmeniona hapo mwanzoni mwanzoni kabisa?
Kanda ya ziwa hiiHere we go forget about KFC brothers
Nimekuona na kuku wakiwa wamekaa mitindo mbalimbali wengine wamemwaga radhi hapo kwa sahani
Umenikbusha kuna Jamaa yangu alinunua nyama ya [emoji241] sehemu fulan akamaindi sana akasusa hata kuila kisa eti yeye amezoea kula ambayo haijakaushwa sana yaan ile damu damu ndio anayoipendelea sana yaan hapendi ikaushweeee wala hapendi mafuta hata ikichomwa isikaushwe sana
Kwa hio kila mtu ana mapendeleo na machaguo yake
Lowest package ni 13,000
Duh ss mbn hmna consistenceKuku wa KFC kuna siku watamu kuna siku kawaida, labda ulienda siku ambayo hawako poa. Nilikula MARRY BROWN pale mliman city nikaona kuku wabaya sana, mpaka leo sielewi wale watu wanaojaa pale wanatafuta nini na kuacha kwenda KFC. Nadhan ndio scenario kama yako ilinikuta.
Baganda hao kutoka kwa M7!!Kanda ya ziwa hii
Kama siyo Musoma bac kwa wajaluo
Sent from my OPPO R9s using JamiiForums mobile app
Ukwaju wa pilipili wanao pia!!??Lowest package ni 13,000
Ndio umeingia Dar 1st time?Kuku kama biskuti huyo [emoji23]
Kaa naye mbali.Ana kila tabia za cannibal.Utakuja kunyonywa damu.Umenikbusha kuna Jamaa yangu alinunua nyama ya 🐖 sehemu fulan akamaindi sana akasusa hata kuila kisa eti yeye amezoea kula ambayo haijakaushwa sana yaan ile damu damu ndio anayoipendelea sana yaan hapendi ikaushweeee wala hapendi mafuta hata ikichomwa isikaushwe sana
Kwa hio kila mtu ana mapendeleo na machaguo yake
Sawa mkuu nmekuelewa ntafanya hivyoKaa naye mbali.Ana kila tabia za cannibal.Utakuja kunyonywa damu.
KentuckyUMEKULA WAPI, USA AU BONGO?
Ambao hatujawahi kula tuna comment wapNimekula kuku wa KFC jana, kwakweli nilikua dissapointed mno, ile hype yote nliyokua naisikia haikuwa na ukweli upande wangu.
Kuku hana ladha ni mafuta tu. Angalau chipsi zao ndo zina ladha. Au mnasemaje wadau ambao mshawai kula hii kitu?
Tundu Ni lake,acha lisulubiwe.Liliumbwa kwa ajili hio mkuu.Halafu wengine wanaoenda kfc nawaonaga ni washamba tuu wala sio maisha yao,unakuta kadada kame mdanga mhuni ili kaende kfc hakana hata hela yake..
Ishini maisha yenu bhana,kama hadhi yako ni kuenda kununua miguu ya kuku enda tuu,sio unafosi ili mradi uzame kfc uonekane nawewe ni wa matawi kidogo.
Sometimes napitaga pale afu nawachora tu maslay queen na mabishoo.
Nawew unapendea nn dagaaNimekula kuku wa KFC jana, kwakweli nilikua dissapointed mno, ile hype yote niliyokua naisikia haikuwa na ukweli upande wangu.
Kuku hana ladha ni mafuta tu. Angalau chipsi zao ndo zina ladha. Au mnasemaje wadau ambao mshawahi kula hii kitu?