Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Umenikbusha kuna Jamaa yangu alinunua nyama ya 🐖 sehemu fulan akamaindi sana akasusa hata kuila kisa eti yeye amezoea kula ambayo haijakaushwa sana yaan ile damu damu ndio anayoipendelea sana yaan hapendi ikaushweeee wala hapendi mafuta hata ikichomwa isikaushwe sanaMe kuna mwanangu nilimlisha kuku wa kitaa hotel fulani akadai wanapika kuku wabaya yeye kazoea wa KFC
Uliisha huo ugali?Here we go forget about KFC brothers
Hii kama sio Mwanza ni MusomaHere we go forget about KFC brothers
Hii kama sio Mwanza ni Musoma