Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Wewe kakuambia nani kwamba malaika wanachoka?malaika nao wanachoka kumbebelea na kukimbia kimbia naye kila wakati.
Mungu mwenyewe ametengua urais wa magufuli kupisha uchunguzi dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka. Kuhamishwahamishwa kwa mwili ni sehemu ya uchunguzi.Thread hii inasema alikuwa mtu mwema awekwe mahali pema. Malaika wanamchukua wanaenda mweka atulie...
[emoji23]Wewe kakuambia nani kwamba malaika wanachoka???
Juu ya yote yeye mwenyewe si alipata kusema akifika huko atakuwa kiongozi wa hao malaika???
Sasa watachokaje kumbeba Boss wao??!!
Think twice and thrice .
Hahahahahahhaa mbavu zangu jamaniThread hii inasema alikuwa mtu mwema awekwe mahali pema. Malaika wanamchukua wanaenda mweka atulie....
Hii ndio jehanamu yake alifanya maovu mengi mno!Thread hii inasema alikuwa mtu mwema awekwe mahali pema. Malaika wanamchukua wanaenda mweka atulie...
Hahahahh hata chato hutaki mkuu ?Jamaa awekwe popote lakini sio hapa Tz.