Lafacha
Senior Member
- Feb 3, 2017
- 195
- 275
Sasa mzee unataka akapumzike ili iweje?Imekuwa ni usumbufu mkubwa kwa Malaika na Mwendazake pia. Hajapata nafasi ya kupumzika kabisa.
Ule msemo bado unaendelea kazi kazi tu,
Ni mwendo wa ruti tu mzee.
Alafu, Wazee wa kanzu nyeupe wanasema " kama ulivyowafanyia wenzako na wewe utafanyiwa ivyo ivyo kwa kipimo kile kile".