Mnawezaje kuishi na binadamu mzito kiasi hiki?

Mnawezaje kuishi na binadamu mzito kiasi hiki?

Ukwelinasema

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2021
Posts
454
Reaction score
542
Wamama/wababa mnawezaje kuishi na binadamu mzito kiasi hichi? Kila unachomwambia haonyeshi response positive hata siku moja ye kila kitu ni subiri subiri, hataki hata kuulizwa malengo yake yani ye ilimradi mmekula mmelala basi mwaka unaanza mwaka unaisha hamna chamaana mnachofanya embu mje mnambie, mmewezaje jmn kufanya maendeleo kwenye familia zenu?

Natanguliza shukrani kwa ushauri positive wenye kujenga pia naombeni mkinionea CONTROLA huko mniitie ashauri kwenye maswala ya biashara tuinuane mwanzo wa mwaka huu.
 
Kuna mambo mawili either hana akili za maendeleo or wale wa kuambiwa mwanaume au mwanamke siyo ndugu yako ,Fanya mipango yako kimpango wakoo!!
Maana siku hizi jamani kuna makungwi uchwara[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]balaa!!wakati wao na wenza wao Chanda na Pete!

Haya maisha watu wanakariri kwa kua Fulani alitendwa baasi wengine nao wanaishi kwa history wakati sio kweli!

Mhimu nakushauri pambana mwanaume kiume kama hataki mshee we komaa tu utatoboa wewe ndo baba!!!
 
Fanya mwenyewe, unataka ufanye naye kwanini wakati ulishajua hataki??
Wewe ukilianzisha huweza akahamasika!

Eeh wale waliooa ma slay queen, mje mumshauri mwenzenu!
[emoji16][emoji23][emoji2][emoji2][emoji23]kaoa slay queen
 
Mitandao is weird. One person anatapeliwa yet another person is content na hekaya, falling blindly.

Well then you might look up Ugumu wangu while you are at it.
 
Fanya mwenyewe, unataka ufanye naye kwanini wakati ulishajua hataki??
Wewe ukilianzisha huweza akahamasika!

Eeh wale waliooa ma slay queen, mje mumshauri mwenzenu!
nimefuzwa kutokua mmimi kwenye ndoa nataka tuinuke pamoja kama familia
 
Kuna mambo mawili either hana akili za maendeleo or wale wa kuambiwa mwanaume au mwanamke siyo ndugu yako ,Fanya mipango yako kimpango wakoo!!
Maana siku hizi jamani kuna makungwi uchwara[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]balaa!!wakati wao na wenza wao Chanda na Pete!

Haya maisha watu wanakariri kwa kua Fulani alitendwa baasi wengine nao wanaishi kwa history wakati sio kweli!

Mhimu nakushauri pambana mwanaume kiume kama hataki mshee we komaa tu utatoboa wewe ndo baba!!!
nimekuelewa kupita maelezo asante mkuu
 
SUTI MOJA MALENGO MIA

Punguza maneno ya kujifanya una malengo mengi kuzidi mfuko wa mwenzio unasemaje.
suti yenye mfuko mmoja si suti mkuu,afu hakuna nilipoandika unaangaliwa mfuko wake ili maendeleo yatokee
 
[emoji16][emoji23][emoji2][emoji2][emoji23]kaoa slay queen
Msingi kiuno karidhika! Yeye mwenyewe kazubaa, eti kafundishwa wanyanyuke pamoja!
😆😄 Sikujua wanaume wana kitchen party siku hizi!
 
Wamama/wababa mnawezaje kuishi na binadamu mzito kiasi hichi? Kila unachomwambia haonyeshi response positive hata siku moja ye kila kitu ni subiri subiri, hataki hata kuulizwa malengo yake yani ye ilimradi mmekula mmelala basi mwaka unaanza mwaka unaisha hamna chamaana mnachofanya embu mje mnambie, mmewezaje jmn kufanya maendeleo kwenye familia zenu?

Natanguliza shukrani kwa ushauri positive wenye kujenga pia naombeni mkinionea CONTROLA huko mniitie ashauri kwenye maswala ya biashara tuinuane mwanzo wa mwaka huu.
Mrejesho
 
Back
Top Bottom