Mnawezaje kuishi na watoto wa kambo?

Mnawezaje kuishi na watoto wa kambo?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Kuishi na mtoto wa kambo kunahitaji unafiki wa hali ya kiwango cha SGR,

Hebu fikiria kuna wakati hata wife ananichukia sababu sicheki na mtoto anapokosea je? Wangekuwa ni wakambo ingekuwaje?

Mfano. Juzi nimembeba mtoto akawa analia kwa sauti mama alikuwa na kazi zingine ikabidi nimwambie njoo umchukue mwanao haraka.

Fikiria angekuwa sio mtoto wangu ingekuwaje?
 
Kuishi na mtoto wa kambo kunahitaji unafiki wa hali ya kiwango cha SGR,

Hebu fikiria kuna wakati hata wife ananichukia sababu sicheki na mtoto anapokosea je? Wangekuwa ni wakambo ingekuwaje?

Mfano. Juzi nimembeba mtoto akawa analia kwa sauti mama alikuwa na kazi zingine ikabidi nimwambie njoo umchukue mwanao haraka.

Fikiria angekuwa sio mtoto wangu ingekuwaje?
Huyo unatakiwa kumchekeshachekesha, mpaka mwenyewe anasahau kulia anacheka.

Yani na wewe unakuwa kama mtoto, halafu unakuwa kichaa zaidi yake, unajipigisha vikelele vya ajabu ajabu, unachezesha mdomo, unageuzageuza macho, mpaka atakushangaa na kuanza kucheka.
 
Umemuelewa mtoa mada...
Anauliza ""Mkewe angemfikiriaje"" kwa kauli kama "" Njoo umchukue mwanao" halafu sio mtoto wake..!!!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Nilimjibu kulingana na kichwa cha mada... Ila kwa scenario yake nadhani ni mazoea yetu ya mtoto akizingua ni wa mama😂😂😂 tofauti na akifanya jambo zuri

YNWA🙌
YANGA BINGWA🙌
 
Nilimjibu kulingana na kichwa cha mada... Ila kwa scenario yake nadhani ni mazoea yetu ya mtoto akizingua ni wa mama😂😂😂 tofauti na akifanya jambo zuri

YNWA🙌
YANGA BINGWA🙌
Mithali 10:1
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
 
La 7 B representing backbencha 😂

Naona ni wito kama ualimu, ukunga, uanaharakati
 
Kuishi na mtoto wa kambo kunahitaji unafiki wa hali ya kiwango cha SGR,

Hebu fikiria kuna wakati hata wife ananichukia sababu sicheki na mtoto anapokosea je? Wangekuwa ni wakambo ingekuwaje?

Mfano. Juzi nimembeba mtoto akawa analia kwa sauti mama alikuwa na kazi zingine ikabidi nimwambie njoo umchukue mwanao haraka.

Fikiria angekuwa sio mtoto wangu ingekuwaje?
Kama hauna upendo kwa watoto haijalishi kama ni wako umezaa ama sio wakwako.
 
Usione wanawake wakiwachukia watoto waliozaliwa nje ya ndoa. Hawana table etiquette Wala heshima kwa wake za baba zao. Kuna dogo mmoja mtoto wa kambo, wakati wa kula akitangulia kupakua chakula ujue atachota nyama zote halafu akimaliza kula sahani anaacha pale pale.
 
Back
Top Bottom