Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Sijawahi kuelewa kabisa mtu anakulaje ugali mboga saba kwa raha mustarehe akifurahia chakula, wengine wanaita kucheza drafti.
Mimi chakula kikizidi mboga tatu huwa naona kizunguzungu tu saa ya kula. Pia mboga zikiwa nyingi sana tofauti tofauti ugali huwa unawahi kuisha mboga zinabaki inabidi niendelee kula mboga tu. Tatizo linakuja kama mboga mmojawapo iliyobaki ni mlenda.
Mambo ya mboga saba yamekaa zaidi kama sifa za kijinga, ulafi, uharibifu wa chakula na kupoteza muda tu.
Mimi chakula kikizidi mboga tatu huwa naona kizunguzungu tu saa ya kula. Pia mboga zikiwa nyingi sana tofauti tofauti ugali huwa unawahi kuisha mboga zinabaki inabidi niendelee kula mboga tu. Tatizo linakuja kama mboga mmojawapo iliyobaki ni mlenda.
Mambo ya mboga saba yamekaa zaidi kama sifa za kijinga, ulafi, uharibifu wa chakula na kupoteza muda tu.