Mnawezaje kwenda zaidi ya dk 60 bila kuachia bao la kwanza?

Mnawezaje kwenda zaidi ya dk 60 bila kuachia bao la kwanza?

Wakuuu mko poaa

nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki,

Kuna bro wangu na yy anasemaga ivo ,akichakata bao la kwanza ni kuanzia dk 40 na kuendelea ,

Humu JF pia wengi nawaonaga wakikomenti et hata saa 1 inaweza ikafika bila kuachia bao la kwanza.

Au mi ni mgonjwa[emoji3][emoji3] yaan nikazamisha ndani ya papuchi hata dakika 6 ni nyingi najikuta tayari. (hata nijizuie vipi).

Bao la pili ndo naweza enda hata dk 15, bao la tatu naenda nusu saa, bao la nne labda malaika ashuke.

Nafeli wapi wakuu,kama ni mazoez napiga sana tuu

Kuhusu mke wangu yeye ndo ananiombaga tupumzike amechoka, ila kwa story nazokutana nazo JF na mitaani najionaga mweupe kabsaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukitaka kukaa muda mrefu bila kuachia wazungu kuna baadhi ya principles ambazo lazima uzizingatie. Japokua sishauri ukae dakika 60 juu ya kifua cha mwanamke maana kwanza wote mtachoka sana, kuna uwezekano wa kuumwa viungo na hata rungu lenyewe litauma au kuchubuka. Mambo ya kuzingatia ni:

1. Usiwe na ukame. Kama hujaona mbususu mwezi mzima au wiki mbili mzee huez last zaidi ya dakika mbili ukikutana na ule utam na lile joto.

2. Muandae mwanamke mpaka awe chepechepe. Kati ya vitu vitakavyofanya wazungu waje chapu ni kumuingilia mwanamke akiwa bado mkavu. Hii ni kwasababu friction itakua kubwa sana na utajikuta unatumia nguvu kumuingilia, kitu ambacho kitaleta wazungu ndani ya sekunde chache tu. Ukiona vipi paka lubricant/mate.

3. Style ya kuanzia. Kuna baadhi ya style ambazo ukitumia lazima utapiga bao fasta sana. Style nzuri ya kuanzia ni kifo cha mende. Hii inakupa mwanaume control ya zoezi zima hasa spidi ya ku pump. Hakikisha unaanza kwa spidi ndogo halafu ongeza taratibu. Ukiona kama unaanza kusikia dalili za wazungu unapunguza mwendo

4. Jinsi ya ku pump. Usi pump kama jamaa wa kwenye muvi za ngono, kwamba unachomoa dushee karibu lote ndio unalirudisha tena ndani mpaka mwisho. Hapo humalizi dakika. Wakati wa ku pump unatakiwa unacheza na inch 1- 2 tu yaani ile nje ndani isizidi inch 2.

5. Wakati wa ku pump, mzuie mwanamke asikuchezee. Weka distance kati yenu yaani sehemu kubwa ya miili yenu isigusane. Njia nzuri ni kuishikilia mikono yake hapo kitandani usawa wa kichwa chake huku na huku
----------------------------
Uzoefu wangu:

Miaka 20 ya kuchakata mbususu, 10 ya ndoa.
 
Kuna wanaume wanna nguvu sana, dakika 45-60 anafikisha ila ndo harudii na hapa ke kuimudu hii inatakiwa uwe na ute wa kutosha vinginevyo utakimbia chumba
Sio kwamba wana nguvu sana, ni sayansi tu. Mimi leo nimechakata kuanzia saa sita mpaka saa tisa, hapo katikati tumepumzika kama 40 minutes wakati huo yeye 2 mimi 0. Mpaka mwisho wa gemu yeye 3 mimi 1.
 
Mosi, wanaume wanatofautiana uwezo wa kuzuia mshindo hivyo si ajabu kusikia mwanaume katumia dk 60.

Pili, umri na afya ya mwanaume, ukiwa mtu wa mazoezi sana kuna uwezekano mkubwa ukawa pia na stamina ya muda mrefu kitandani.

Tatu, kama ilivyo kwa wanawake kwamba kuna style 'mkao' ambayo dk kadhaa tu anafika mshindo, ndivyo ilivyo hata kwa wanaume kuna style zinakufikisha haraka na zipo unaweza ukajikuta unafanya tuuu.

Nne, jinsi ambavyo unaingiza na kutoa uume wako kwenye uke, kumbuka kuwa kwa waliotahiriwa sehemu ya kichwa cha uume ipo sensitive zaidi kuliko sehemu yoyote. Kama utaingiza na kutoa uume wako kiasi kwamba kichwa chake kitakuwa kinagusa mlango wa uke katika kila mpigo, kuna chance kubwa ya kutumia muda mchache.

Yote hayo yakishindikana basi fanya foreplay muda mrefu ili kuepusha kufika mshindo kabla ya mkeo...principle ni hii katika kila mshindo mmoja wa mwanaume, mwanamke anatakiwa awe kafikia mishindo miwili..
 
Katafute hii upeleke moto🔥🔥🔥 kisawa sawa...unaweka vijitone kwenye zana za kazi...usipige ukelele tu ikianza kufanya kazi🤣
images (2) (20).jpeg
 
Piga uwezo wako Aisee.

Utakojoa damu kwa story za vijiweni buraza.
 
Mosi, wanaume wanatofautiana uwezo wa kuzuia mshindo hivyo si ajabu kusikia mwanaume katumia dk 60.

Pili, umri na afya ya mwanaume, ukiwa mtu wa mazoezi sana kuna uwezekano mkubwa ukawa pia na stamina ya muda mrefu kitandani.

Tatu, kama ilivyo kwa wanawake kwamba kuna style 'mkao' ambayo dk kadhaa tu anafika mshindo, ndivyo ilivyo hata kwa wanaume kuna style zinakufikisha haraka na zipo unaweza ukajikuta unafanya tuuu.

Nne, jinsi ambavyo unaingiza na kutoa uume wako kwenye uke, kumbuka kuwa kwa waliotahiriwa sehemu ya kichwa cha uume ipo sensitive zaidi kuliko sehemu yoyote. Kama utaingiza na kutoa uume wako kiasi kwamba kichwa chake kitakuwa kinagusa mlango wa uke katika kila mpigo, kuna chance kubwa ya kutumia muda mchache.

Yote hayo yakishindikana basi fanya foreplay muda mrefu ili kuepusha kufika mshindo kabla ya mkeo...principle ni hii katika kila mshindo mmoja wa mwanaume, mwanamke anatakiwa awe kafikia mishindo miwili..
Duuuh... mkuu utadhani tuliambizana kabla ya ku post 😆😆
 
Dah....Cha msingi....muandae....ili wote mpige bao angalau mbili mbili....kwa angalau saa 1...ili atamani kurudi tena....Kisha mkajenge taifa 🤣🤣🤣🤭
 
Back
Top Bottom