Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Duh hiyo ya masta wewe Ni noma MzeeMm nshawahi piga 10 za mastabesheni nlianz na uwoya nkaja niki minaji nkaja n rihana, nkahamia aishwari alai daah! Wasiowah fkisha wabishe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hiyo ya masta wewe Ni noma MzeeMm nshawahi piga 10 za mastabesheni nlianz na uwoya nkaja niki minaji nkaja n rihana, nkahamia aishwari alai daah! Wasiowah fkisha wabishe tu
Hizo bao 9 kwa usiku mmoja inawezekana Sana ila ndo dakika chache chache ila inawezekana vizuri tuHahaa maneno tu ya kwenye kahawa kutaka kujitutumua mkuu.
Kuna mshkaji yeye alisema siku moja kwamba usku wake katoka kupiga bao tisa.
Haaa sasa ukiskia hivo unaitikia tu kusogeza story mbele.
Mnapigana mabao ya kitoto dk kumi kumi au?Hizo bao 9 kwa usiku mmoja inawezekana Sana ila ndo dakika chache chache ila inawezekana vizuri tu
Ni ya kitoto sababu wewe huyawezi, hatufanani mkuu Kama tunavyopishana kimuonekano na maumbile hata performance ya huko ni hivyo.Mnapigana mabao ya kitoto dk kumi kumi au?
Ukitaka kukaa muda mrefu bila kuachia wazungu kuna baadhi ya principles ambazo lazima uzizingatie. Japokua sishauri ukae dakika 60 juu ya kifua cha mwanamke maana kwanza wote mtachoka sana, kuna uwezekano wa kuumwa viungo na hata rungu lenyewe litauma au kuchubuka. Mambo ya kuzingatia ni:Wakuuu mko poaa
nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki,
Kuna bro wangu na yy anasemaga ivo ,akichakata bao la kwanza ni kuanzia dk 40 na kuendelea ,
Humu JF pia wengi nawaonaga wakikomenti et hata saa 1 inaweza ikafika bila kuachia bao la kwanza.
Au mi ni mgonjwa[emoji3][emoji3] yaan nikazamisha ndani ya papuchi hata dakika 6 ni nyingi najikuta tayari. (hata nijizuie vipi).
Bao la pili ndo naweza enda hata dk 15, bao la tatu naenda nusu saa, bao la nne labda malaika ashuke.
Nafeli wapi wakuu,kama ni mazoez napiga sana tuu
Kuhusu mke wangu yeye ndo ananiombaga tupumzike amechoka, ila kwa story nazokutana nazo JF na mitaani najionaga mweupe kabsaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sio kwamba wana nguvu sana, ni sayansi tu. Mimi leo nimechakata kuanzia saa sita mpaka saa tisa, hapo katikati tumepumzika kama 40 minutes wakati huo yeye 2 mimi 0. Mpaka mwisho wa gemu yeye 3 mimi 1.Kuna wanaume wanna nguvu sana, dakika 45-60 anafikisha ila ndo harudii na hapa ke kuimudu hii inatakiwa uwe na ute wa kutosha vinginevyo utakimbia chumba
Ni kipaji cha wachache hongera mkuuSio kwamba wana nguvu sana, ni sayansi tu. Mimi leo nimechakata kuanzia saa sita mpaka saa tisa, hapo katikati tumepumzika kama 40 minutes wakati huo yeye 2 mimi 0. Mpaka mwisho wa gemu yeye 3 mimi 1.
Ila yote kwa yote maandalizi yako ndio ushindi wako huo......Mwanamume mwenye afya safi akutane na mashine nzima hamalizi sekunde 180
yaani dk 3 tosha kabisa kwa mashine safi bila ndomu
Nimejaribu kutoa elimu hapo juu nadhani itasaidia.Ni kipaji cha wachache hongera mkuu
Nimeisoma, ila wanaume wa siku hizi wengi wachovu tuNimejaribu kutoa elimu hapo juu nadhani itasaidia.
Duuuh ukisikia muziki umeuwa band ndiyo huko[emoji16][emoji16]Mm nshawahi piga 10 za mastabesheni nlianz na uwoya nkaja niki minaji nkaja n rihana, nkahamia aishwari alai daah! Wasiowah fkisha wabishe tu
Duuuh... mkuu utadhani tuliambizana kabla ya ku post 😆😆Mosi, wanaume wanatofautiana uwezo wa kuzuia mshindo hivyo si ajabu kusikia mwanaume katumia dk 60.
Pili, umri na afya ya mwanaume, ukiwa mtu wa mazoezi sana kuna uwezekano mkubwa ukawa pia na stamina ya muda mrefu kitandani.
Tatu, kama ilivyo kwa wanawake kwamba kuna style 'mkao' ambayo dk kadhaa tu anafika mshindo, ndivyo ilivyo hata kwa wanaume kuna style zinakufikisha haraka na zipo unaweza ukajikuta unafanya tuuu.
Nne, jinsi ambavyo unaingiza na kutoa uume wako kwenye uke, kumbuka kuwa kwa waliotahiriwa sehemu ya kichwa cha uume ipo sensitive zaidi kuliko sehemu yoyote. Kama utaingiza na kutoa uume wako kiasi kwamba kichwa chake kitakuwa kinagusa mlango wa uke katika kila mpigo, kuna chance kubwa ya kutumia muda mchache.
Yote hayo yakishindikana basi fanya foreplay muda mrefu ili kuepusha kufika mshindo kabla ya mkeo...principle ni hii katika kila mshindo mmoja wa mwanaume, mwanamke anatakiwa awe kafikia mishindo miwili..