Mnawezaje kwenda zaidi ya dk 60 bila kuachia bao la kwanza?

Mnawezaje kwenda zaidi ya dk 60 bila kuachia bao la kwanza?

Congo dust hii kitu ndo heshima kwa mwanaume. Haina madhara. Inachofanya unapaka baada lisaa nenda kaoshe. Subiri utaanza kusikia ganzi hapo nenda kafanye yako
 
Mwongozo wa zoezi lenyewe mkuu, linafanyika vipi au hata tutorial
Kuwa makini husije jikuta unageukia Punyeto

Hata unapokojoa mkojo wa kawaida kojoa
Ruhusu mkojo sekunde 3, zuia sekunde tano
Fanya hilo zoezi polepole
Baadae ukizoea Ruhusu sek 3 bana sekunde 7 hata 10
Focus ni muhimu itakusaidia kuimarisha misuli ya mrija wa manii
 
Hahaa maneno tu ya kwenye kahawa kutaka kujitutumua mkuu.

Kuna mshkaji yeye alisema siku moja kwamba usiku wake katoka kupiga bao tisa.

Haaa sasa ukiskia hivyo unaitikia tu kusogeza story mbele.
Hiyo kawaida...mim mwenyewe Enzi Za ujana nliwahi kupiga 12
 
We danganyika sired za jeifu 😂😂.

Imagine
85% ya wana jf ni matajiri, na wana magari.

70% wamejenga nnje ya mji na wana familia zao safi kabisa.

98% ndo hao wanapiga mzigo kwa bed ni hatareee na note this; wote hawa wamewahi kula tunda kimasihara.

Sasa akili kumkichwa ndgu kalagabhaho
 
Ukisikia wazungu wanataka kutoka bana tyako zako kama unataka kupiga saluti afu huna kofia. Tumia iyo njia njoo unishukùru hapa. Imeshindikana bro piga mazoezi ya kegel. Unapopiga mazoezi ya kegel be serious focus kwenye zoezi ilo akili iwe kwenye ilo zoezi unaweza hisi hilo zoezi ni mzaha pls FOCUS.

Kwa kweli nimewahi piga ilo zoezi kila siku kwa wiki kama mbili nilijikuta napiga mechi wazungu najilazimisha waje lakini wamekatalia ndani hawataki achia koloni Niliamua kuachana nalo hilo zoezi maana demu alionihisi nina tatizo.

So far zoezi Kegel imenisaidia kuunganisha mabao asee
I just do kegel kila siku

Inanifanya nipige gemu kibabe sana
 
Kifo cha mende huku manzi analamba chuchu ulimi unacheza na kifua chote huku mikono anakuchezea mbavu na mgongoni!
Plus sauti ya mahaba

Utachukua dakika ngapii hapo!
 
Jamani sio kila kitu lazima tufanane....yaani kufanya mapenzi ni sawa na kula chakula au kunywa maji kila mtu na Tani zake. So usijifosi Kama uwezo wako ni kula chapati moja tulia tu Kuna wengine uwezo wao ni kula chapati kumi.

Yaani ni Kama vile kucheza mpira kila mtu anajua kupiga mpira Ila kwenye kuuchezea hapo kila mtu na uwezo wake ndivyo ilivyo kwenye kuichakata mbunye. So usijifosi cheza nafasi yako na uwe na Aman
 
Wakuuu mko poaa

Nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki...
😂😂😂bro ww ni mzima tena uko fit kabisa,achana na stori za vijiweni na umu Jf kila mtu anajifanya mwamba wakati huo pengine wanaenda sekunde 3 tatu,wajinga tu achana nao
 
Wakuuu mko poaa

Nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki.

Kuna bro wangu na yeye anasemaga ivo, akichakata bao la kwanza ni kuanzia dk 40 na kuendelea.

Humu JF pia wengi nawaonaga wakikomenti et hata saa 1 inaweza ikafika bila kuachia bao la kwanza.

Au mi ni mgonjwa[emoji3][emoji3] yaan nikazamisha ndani ya papuchi hata dakika 6 ni nyingi najikuta tayari (hata nijizuie vipi).

Bao la pili ndo naweza enda hata dk 15, bao la tatu naenda nusu saa, bao la nne labda malaika ashuke.

Nafeli wapi wakuu, kama ni mazoezi napiga sana tu.

Kuhusu mke wangu yeye ndo ananiombaga tupumzike amechoka, ila kwa story nazokutana nazo JF na mitaani najionaga mweupe kabsaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe ndio uko kawaida....
 
Back
Top Bottom