Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Congo dust hii kitu ndo heshima kwa mwanaume. Haina madhara. Inachofanya unapaka baada lisaa nenda kaoshe. Subiri utaanza kusikia ganzi hapo nenda kafanye yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwongozo wa zoezi lenyewe mkuu, linafanyika vipi au hata tutorialUkisikia wazungu wanataka kutoka bana tyako zako kama unataka kupiga saluti afu huna kofia. Tumia iyo njia njoo unishukùru hapa. Imeshindikana bro piga mazoezi ya kegel...
Kuwa makini husije jikuta unageukia PunyetoMwongozo wa zoezi lenyewe mkuu, linafanyika vipi au hata tutorial
Hiyo kawaida...mim mwenyewe Enzi Za ujana nliwahi kupiga 12Hahaa maneno tu ya kwenye kahawa kutaka kujitutumua mkuu.
Kuna mshkaji yeye alisema siku moja kwamba usiku wake katoka kupiga bao tisa.
Haaa sasa ukiskia hivyo unaitikia tu kusogeza story mbele.
Kumbe we Ni mwanaumeTumeumbwa tofauti
Njoo unikagueKumbe we Ni mwanaume
Poa njoo pmNjoo unikague
Umeshajua jinsia yangu acha ufaaaPoa njoo pm
Bado sjajuaUmeshajua jinsia yangu acha ufaaa
I just do kegel kila sikuUkisikia wazungu wanataka kutoka bana tyako zako kama unataka kupiga saluti afu huna kofia. Tumia iyo njia njoo unishukùru hapa. Imeshindikana bro piga mazoezi ya kegel. Unapopiga mazoezi ya kegel be serious focus kwenye zoezi ilo akili iwe kwenye ilo zoezi unaweza hisi hilo zoezi ni mzaha pls FOCUS.
Kwa kweli nimewahi piga ilo zoezi kila siku kwa wiki kama mbili nilijikuta napiga mechi wazungu najilazimisha waje lakini wamekatalia ndani hawataki achia koloni Niliamua kuachana nalo hilo zoezi maana demu alionihisi nina tatizo.
So far zoezi Kegel imenisaidia kuunganisha mabao asee
Pole pole sheikh usije ukaua mtu.😂😂😂I just do kegel kila siku
Inanifanya nipige gemu kibabe sana
😂😂😂bro ww ni mzima tena uko fit kabisa,achana na stori za vijiweni na umu Jf kila mtu anajifanya mwamba wakati huo pengine wanaenda sekunde 3 tatu,wajinga tu achana naoWakuuu mko poaa
Nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki...
Ukisikia wazungu wanataka kutoka bana tyako zako kama unataka kupiga saluti afu huna kofia. Tumia iyo njia njoo unishukùru hapa. Imeshindikana bro piga mazoezi ya kegel...
wazungu najilazimisha waje lakini wamekatalia ndani hawataki achia koloni
Wakuuu mko poaa
Nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki...
Wewe ndio uko kawaida....Wakuuu mko poaa
Nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki.
Kuna bro wangu na yeye anasemaga ivo, akichakata bao la kwanza ni kuanzia dk 40 na kuendelea.
Humu JF pia wengi nawaonaga wakikomenti et hata saa 1 inaweza ikafika bila kuachia bao la kwanza.
Au mi ni mgonjwa[emoji3][emoji3] yaan nikazamisha ndani ya papuchi hata dakika 6 ni nyingi najikuta tayari (hata nijizuie vipi).
Bao la pili ndo naweza enda hata dk 15, bao la tatu naenda nusu saa, bao la nne labda malaika ashuke.
Nafeli wapi wakuu, kama ni mazoezi napiga sana tu.
Kuhusu mke wangu yeye ndo ananiombaga tupumzike amechoka, ila kwa story nazokutana nazo JF na mitaani najionaga mweupe kabsaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]