Mnayasababisha wenyewe halafu mnalalamika

Mnayasababisha wenyewe halafu mnalalamika

Hata leo wakati natoka sokoni kwenye bajaji nimekutana na kaka mmoja kwa mara ya kwanza na huwe amini aliniuliza tushuke wote twende tukapoe mahali (guest). Na ni mkaka wale senior wanaolekea kwwnye ubaba (45+). Niliona maajabu sana ...nkamjibu huwa sinaga tabia ya ku do na strangers.

Wanaume na wanawake wameirahisisha sana sex kwakwelii ya lisaa ushatongoza umekubaliwa na unakula saaafiii kabisa.

Sasa kwa haya ya hivi ukiombwa kodi na mtu siku hii hii ya kwanza utalalamika??
Siwezi ujinga huu kamwe.
Mungu hakukosea kuniumba mwanadanu.
Hizo ni tabia za mbwa.
 
Bas mbwa ni wengiiii
Kama nimekuelewa nitakuomba simu na nitaanza kuukata mti mdogo mdogo sio kwa pupa.
Nikusome kidogo kwani sio kila anayevutia afaa kuwa naye.
 
Kama nimekuelewa nitakuomba simu na nitaanza kuukata mti mdogo mdogo sio kwa pupa.
Nikusome kidogo kwani sio kila anayevutia afaa kuwa naye.
Kwa ww mwenye akili zako ila kwa wanaume walio wengi wamekosa haya na soni
 
Tatizo wanawake waliowengi watokako walishaumizwa jwahiye mwanaume yoyote atakayetokea mbele yake lazima naye alipize kisasi kwa hiyo mizinga, na kuna mwanamke toka aingie kwenye mahusiano hajawahi kutendewa wema hata siku 1,
kutoa ni moyo..
kuna watu ni watoaji tu, na hii ni kwa wenye changamoto za kweli kabisa.
 
Ujumbe kwenye picha unahusika sana....

Wanaume mmekuwa mkilaani sana kuombwa mahitaji baada ya muda mfupi baada ya kumuelewa mwanamke wa kitanzania.

Sasa wewe tumekutana leo leo halafu unaniambia umenielewa ...nikiuliza umenielewaje unajibu unataka mzigo.... Huku na huku tunachat mara paaaap unataka uone punanii

Sasa mbona wewe umeenda resi kwenye kutaka mzigo....na mimi nikikuomba kwa roho safii unisaidie nilipokwama ni vibaya?

View attachment 2506855View attachment 2506856

Mkitaka msiombwe hela siku hiyo hiyo au kutwishwa matatizo ya wanawake jaman na nyie muwe na subra ya kuomba K au picha ya K baada ya miezi japo mitatu.
Hapo tutaenda sawa.
Wanaume wote duniani ni mbwa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa mbususu na pesa wapi na wapi? Mtu Kama anataka kunipa mzigo Nile anipe tu na akininyima Basi sawi, Lakini sio mpaka nimpe pesa kwanza eti ndo naye anionee huruma ya kunipa mbususu.

Sex is a win- win situation and not a loose- win situation.It's a matter of feelings from both parties.
Kwani mliambiwa wanaume pekee ndo huwa wanapata Raha wakati wa sex
 
Ambao wanatoa bure wanapata faida gani ndugu?

Naweza kuwa siuzi ila naelewa kabisa kwanini wengine wanauza.
Kwamba ukibadilisha na hela unakuwa umejishusha value au umeipandisha? Wapi sasa dignity ya mwanamke? Unataka mahusiano yaendeshwe ivyo dada? Yan mtu akikuona tu aone anaweza kukununua tu kisa tu una price tag tayari? Ebu nieleze kwanini wanawake wamejiwekea price tag kama bidhaa?
 
Shida sio kuomba hela shida ni kuwa Omba omba, ukiombwa utelezi jumlisha gharama zako zote za kutoa utelezi ziunganishe kwenye Bill moja. Sio mara naomba hela ya kusuka, mara naomba hela ya bando mara naomba hela ya kula, mara baba anaumwa etc. Kwani kabla ya kukutongoza ulikuwa hauli au hauweki bando?? We piga gharama zako zote kisha niambie ili nikupatie utelezi jumla ya gharama zangu ni Tsh. XX, kisha mimi ndio niangalie hizi gharama kwa huu mzigo zinaendana? Kama zinaendana nifanye malipo unipatie huduma, nikikuhitaji tena unaniandikia bill nyingine. Simple namna hiyo.
Heheheeee!
 
Ukijiendekeza na hawa manywele ya kizungu utatembea tako moja wazi.Tafuta mali itakayokuelewa piga kid mtabariki mbele ya safari.
 
Kuna ambao ata kma haujaomba chululu wanaomba pesa,kwa trik ya kurejesha then wanakutega wanakupa deni linajifuta automatically.
 
Back
Top Bottom