Siwezi ujinga huu kamwe.Hata leo wakati natoka sokoni kwenye bajaji nimekutana na kaka mmoja kwa mara ya kwanza na huwe amini aliniuliza tushuke wote twende tukapoe mahali (guest). Na ni mkaka wale senior wanaolekea kwwnye ubaba (45+). Niliona maajabu sana ...nkamjibu huwa sinaga tabia ya ku do na strangers.
Wanaume na wanawake wameirahisisha sana sex kwakwelii ya lisaa ushatongoza umekubaliwa na unakula saaafiii kabisa.
Sasa kwa haya ya hivi ukiombwa kodi na mtu siku hii hii ya kwanza utalalamika??
KhakhakhaaaaBas mbwa ni wengiiii
Kama nimekuelewa nitakuomba simu na nitaanza kuukata mti mdogo mdogo sio kwa pupa.Bas mbwa ni wengiiii
Sijui kwanini hawataki kuombwa Hela?
kutoa ni moyo..Tatizo wanawake waliowengi watokako walishaumizwa jwahiye mwanaume yoyote atakayetokea mbele yake lazima naye alipize kisasi kwa hiyo mizinga, na kuna mwanamke toka aingie kwenye mahusiano hajawahi kutendewa wema hata siku 1,
Wanaume wote duniani ni mbwaπ€£π€£π€£π€£π€£Ujumbe kwenye picha unahusika sana....
Wanaume mmekuwa mkilaani sana kuombwa mahitaji baada ya muda mfupi baada ya kumuelewa mwanamke wa kitanzania.
Sasa wewe tumekutana leo leo halafu unaniambia umenielewa ...nikiuliza umenielewaje unajibu unataka mzigo.... Huku na huku tunachat mara paaaap unataka uone punanii
Sasa mbona wewe umeenda resi kwenye kutaka mzigo....na mimi nikikuomba kwa roho safii unisaidie nilipokwama ni vibaya?
View attachment 2506855View attachment 2506856
Mkitaka msiombwe hela siku hiyo hiyo au kutwishwa matatizo ya wanawake jaman na nyie muwe na subra ya kuomba K au picha ya K baada ya miezi japo mitatu.
Hapo tutaenda sawa.
Yani sawa tu maan waliwalaghai mama zetu wakatuzaa sisi na dada zetu na kaka zetuπ€£π€£π€£Akiwemo baba yangu
Kwamba ukibadilisha na hela unakuwa umejishusha value au umeipandisha? Wapi sasa dignity ya mwanamke? Unataka mahusiano yaendeshwe ivyo dada? Yan mtu akikuona tu aone anaweza kukununua tu kisa tu una price tag tayari? Ebu nieleze kwanini wanawake wamejiwekea price tag kama bidhaa?Ambao wanatoa bure wanapata faida gani ndugu?
Naweza kuwa siuzi ila naelewa kabisa kwanini wengine wanauza.
Heheheeee!Shida sio kuomba hela shida ni kuwa Omba omba, ukiombwa utelezi jumlisha gharama zako zote za kutoa utelezi ziunganishe kwenye Bill moja. Sio mara naomba hela ya kusuka, mara naomba hela ya bando mara naomba hela ya kula, mara baba anaumwa etc. Kwani kabla ya kukutongoza ulikuwa hauli au hauweki bando?? We piga gharama zako zote kisha niambie ili nikupatie utelezi jumla ya gharama zangu ni Tsh. XX, kisha mimi ndio niangalie hizi gharama kwa huu mzigo zinaendana? Kama zinaendana nifanye malipo unipatie huduma, nikikuhitaji tena unaniandikia bill nyingine. Simple namna hiyo.