Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
labda mamba😅😅😅hivi huko juu haiwezekani kufuga sato.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda mamba😅😅😅hivi huko juu haiwezekani kufuga sato.?
Changamoto sana.Tofauti na hapo ni majanga.
Hii imekaa poa gharama zipoje?Napendelea aina hii ya paa
View attachment 2805870
😂 dah hatarihivi huko juu haiwezekani kufuga sato.?
Hili nalo ni tatizo kwenye jamii yetu ya kibongo, kwa sababu fulani kafanya acha na mimi nifanye, matokeo yake ndio hayo.tatizo wabongo wanaiga sana. wanasema kwenda na fashion wenyewe. tunapanda hearsay .."flani kwake kafanya hivi na hivi", hatufanyi tafiti, tukiona dualis kesho kila mtu anataka dualis ..tukiona sienta kila mtu kesho anataka sienta.
Binafsi kimuonekano naipenda sana ila kwa nnaypyashuhudia naona kabisa haifai.Bado sijapata wazo hilo la kujenga aina hiyo ya nyumba
Kipi kifanyike ili kupata ubora halisi wa hizi nyumba? Nyumba unajenga haipiti hata mwaka inavujaSwali lako umeshalijibu kwenye paragraph ya kwanza kwamba
"Ni nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote"
Hii ni hatari na nusu 😂Ni nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu zinavuja mno lakini bado watu wanajenga sana nyumba kwa mtindo huo ambao sio rafiki hasa kipindi cha mvua.
Kuna mwenye nyumba hapa kila ikinyesha mvua lazima umuone fundi kapanda juu ya bati(navyotype tayari kuna fundi juu ya bati) na wapangaji wake wanalalamika sana maji kuingia ndani na kulowanisha vitu. Kila akiendelea kujenga style ni hiyo hiyo lawama nyingi akiziangushia kwa mafundi wake.
Mafundi upi ushauri wenu juu ya hili?
Upi ni mtindo mzuri wa kupaua nyumba kwa mazingira ya huku kwetu na aina ya mafundi tulionao mitaani?
View attachment 2805821
naunga mkono hoja, bora style ya kawaida.Hizo nyumba zina gharama kubwa, bora style ya kwawaida.
Hizo roofing zinawasumbua mafundi wengi
Nmemuonea huruma anaeishi humo ndani, mvua ikinyesha kimbilio ni ndani, ndani nako kunanyesha 😂Hii ni hatari na nusu 😂
Ni nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zoteKipi kifanyike ili kupata ubora halisi wa hizi nyumba? Nyumba unajenga haipiti hata mwaka inavuja
Imebidi nicheke tu kama mazuri! yan mjumba unavuja utadhani wamepaua kwa kutumia net.Hii ni hatari na nusu 😂
😂 unavuja utadhani inanyesha ndanimjumba unavuja utadhani wamepaua kwa kutumia net.
Hapo juu imekaa kama beseni yani mvua ikinyesha inabeba maji kuingiza maji ndani ni rahisi hata kama kuna outlet ya kutolea maji, pia joto jua likpiga vizuri humo ndani hamkae bila acNi nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu zinavuja mno lakini bado watu wanajenga sana nyumba kwa mtindo huo ambao sio rafiki hasa kipindi cha mvua.
Kuna mwenye nyumba hapa kila ikinyesha mvua lazima umuone fundi kapanda juu ya bati(navyotype tayari kuna fundi juu ya bati) na wapangaji wake wanalalamika sana maji kuingia ndani na kulowanisha vitu. Kila akiendelea kujenga style ni hiyo hiyo lawama nyingi akiziangushia kwa mafundi wake.
Mafundi upi ushauri wenu juu ya hili?
Upi ni mtindo mzuri wa kupaua nyumba kwa mazingira ya huku kwetu na aina ya mafundi tulionao mitaani?
View attachment 2805821
Ccm itakujengea nyumbaNi uzembe wa CCM
Sasa iwe ni usiku, alafu hali kama hiyo inatokea. watoto watahangaika sana dah!.😂 unavuja utadhani inanyesha ndani
Slop hapo ni shida kubwa pia, kwa joto kipindi cha joto kali ni tatizo.Hapo juu imekaa kama beseni yani mvua ikinyesha inabeba maji kuingiza maji ndani ni rahisi hata kama kuna outlet ya kutolea maji, pia joto jua likpiga vizuri humo ndani hamkae bila ac
Alafu kuwe na baridi inakera mno. Kuna jamaa alikuwa anasema kapasi zake nguo fresh tayari kwa interview siku inayofuata, mvua ikanyesha usiku anaamka asubuhi akakuta nguo zote zimelowana. Interview ikaishia hapoSasa iwe ni usiku, alafu hali kama hiyo inatokea. watoto watahangaika sana dah!.