Nimepita Tengeru kuna chuo pale TTC wamejenga library kubwa kama mita 30x30 halafu wameezeka huo mtindo jengo halitumiki linavuja balaaSio kila fundi aweza kujenga contemporary, ubahili wenu ndio unawafikisha hapo.
Fundi hajui hata kuna kitu kinaitwa DUCT...mnaishia kuwekewa mabombavya inch 4 eti yavune maji yote?
1. Hakuna duct ya kushusha maji
2. Slop ndogo
3. Hakuna mfereji mkubwa wa kuvuna maji
4. Ukutani kwenye maungio hskuna bitumen maalum
Unategemea isivuje?
ephen_
Hazivutii au huna pesa? πππKwanza hata hazivutii. Ni kama majengo ya biashara au zile zilikuwa zinajengwa na mkoloni, utazikuta kwenye miji ya zamani.
Hujawahi zipenda au huna hela? π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺSijawahi kuzipenda hizo nyumba , kwanza zinahitaji finnishing ya hela nyingi sana
ππππππππ
Sikuamini ile hasara waliyopata paleWale mambwa sana, walikataa wataalam wakatumia fundi maiko ili wajilipe zaidi.
Nalijua sana
Yaani nitalia jamani! ujenzi ulivyo mgumu Kwa sisi wenye kipato cha kawaidaπ ndio ujipange upate fundi makini sio makanjanja maana muda linakuvujia yeye yupo kwake.
Force account inaliwa sanaSikuamini ile hasara waliyopata pale
Sasa mbona wanasema ndio low-cost houses comparing na zile za paa la kawaida?Hizo sio nyumba za maskini,kama una kipato Cha kuunga unga usiende huko.
Jidanganye,wewe Kwa muonekano wake unaona ni Low cost? Labda Low cost kwenye paa ila bei inakuja ku offset kwenye Ufundi na mapambo.Sasa mbona wanasema ndio low-cost houses comparing na zile za paa la kawaida?
Daaaaah,yaani huu ni uhainiHii ni hatari na nusu π
Kama kwenye mapambo hamna tatizo hata za mgongo wa tembo mbona tunapenda mapambo?nyumba ni finishing, finishing ni decorJidanganye,wewe Kwa muonekano wake unaona ni Low cost? Labda Low cost kwenye paa ila bei inakuja ku offset kwenye Ufundi na mapambo.
Pitched roof hazina mapambo yeyote
Sasa ukilia si utaongeza maji ndani labda ulilie nje, jipange tu vizuri kibajeti ila hizo nyumba aina hiyo inabidi ujishauri mara nyingi sana.Yaani nitalia jamani! ujenzi ulivyo mgumu Kwa sisi wenye kipato cha kawaida
π mpaka taasisi zinaangukia pua, iko tatizo kubwa.Nimepita Tengeru kuna chuo pale TTC wamejenga library kubwa kama mita 30x30 halafu wameezeka huo mtindo jengo halitumiki linavuja balaa
Usishangae ni influence ya mnene mmoja tuπ mpaka taasisi zinaangukia pua, iko tatizo kubwa.
Punguza ushamba. Usidhani comtemporary ni neno kubwa sana. Contemporary linamaanisha "ya kisasa" . Contemporary house ni nyumba ya kisasa. Sasa hizo hidden roof zipo toka enzi za mkoloni zinakuwaje za kisasa? Yaani mchoraji anakuingiza king kwa kukwambia hayo mabanda yaliyokuwepo toka enzi za mkoloni ni contemporary nawe unaingia!!? Muache kuita hayo mabanda contemporary.Hazivutii au huna pesa? πππ
Kuna nyumba zinashinda hizi contemporary Kwa muonekano? Unadhani zinawika sana Kwa sababu ipi?
Hizo nyumba zinaongoza Kwa mvuto na zinaruhusu kuweka mbwembwe za Kila aina,hizo pitch roof ni nyumba za maskini Kila mtu anaweza Jenga
Yangekuwa mabanda hata wewe ungejenga,isingekuwa big agenja mjini.Punguza ushamba. Usidhani comtemporary ni neno kubwa sana. Contemporary linamaanisha "ya kisasa" . Contemporary house ni nyumba ya kisasa. Sasa hizo hidden roof zipo toka enzi za mkoloni zinakuwaje za kisasa? Yaani mchoraji anakuingiza king kwa kukwambia hayo mabanda yaliyokuwepo toka enzi za mkoloni ni contemporary nawe unaingia!!? Muache kuita hayo mabanda contemporary.
Mafundi mbona wapo tuNi nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu zinavuja mno lakini bado watu wanajenga sana nyumba kwa mtindo huo ambao sio rafiki hasa kipindi cha mvua.
Kuna mwenye nyumba hapa kila ikinyesha mvua lazima umuone fundi kapanda juu ya bati(navyotype tayari kuna fundi juu ya bati) na wapangaji wake wanalalamika sana maji kuingia ndani na kulowanisha vitu. Kila akiendelea kujenga style ni hiyo hiyo lawama nyingi akiziangushia kwa mafundi wake.
Mafundi upi ushauri wenu juu ya hili?
Upi ni mtindo mzuri wa kupaua nyumba kwa mazingira ya huku kwetu na aina ya mafundi tulionao mitaani?
View attachment 2805821
Nmekuelewa mkuu nimezingatia neno profesheno. ShukraniNIlimaanisha kuwa contemporary unapoijenga hakikisha una mshauri kuanzia mwanzo na usitenganishe ulete fundi wa kujenga boma then baadae utafute wa roofing.
Hakikisha una msimamizi wa nyimba yako kama mshauri atakayehakikisja mchoro unafuatishwa bila kukosewa:.
Note: si kila mchoraji ili mradi anachora aweza kuku-dizainia nyumba hizi.
Zinahitaji mchoraji profesheno....najua hutanielewa tena.
Nakosa lugha rahisi zaidi
Ni ndoto tu ila nitanunua nyumba baada ya kustaafu huku huku nchi jirani na shamba labda na kumaliza mda wangu kama Mungu atanipa uhaiNmekuelewa shukrani mkuu.
Kama uchumi unaruhusu jenga mkuu.
Mafundi wengi hawana utaalamu,bado ni vilazaNi nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu zinavuja mno lakini bado watu wanajenga sana nyumba kwa mtindo huo ambao sio rafiki hasa kipindi cha mvua.
Kuna mwenye nyumba hapa kila ikinyesha mvua lazima umuone fundi kapanda juu ya bati(navyotype tayari kuna fundi juu ya bati) na wapangaji wake wanalalamika sana maji kuingia ndani na kulowanisha vitu. Kila akiendelea kujenga style ni hiyo hiyo lawama nyingi akiziangushia kwa mafundi wake.
Mafundi upi ushauri wenu juu ya hili?
Upi ni mtindo mzuri wa kupaua nyumba kwa mazingira ya huku kwetu na aina ya mafundi tulionao mitaani?
View attachment 2805821