Mnazipendea nini hidden roof house?

Mnazipendea nini hidden roof house?

Sio kila fundi aweza kujenga contemporary, ubahili wenu ndio unawafikisha hapo.

Fundi hajui hata kuna kitu kinaitwa DUCT...mnaishia kuwekewa mabombavya inch 4 eti yavune maji yote?

1. Hakuna duct ya kushusha maji
2. Slop ndogo
3. Hakuna mfereji mkubwa wa kuvuna maji
4. Ukutani kwenye maungio hskuna bitumen maalum

Unategemea isivuje?
ephen_
Nimepita Tengeru kuna chuo pale TTC wamejenga library kubwa kama mita 30x30 halafu wameezeka huo mtindo jengo halitumiki linavuja balaa
 
Kwanza hata hazivutii. Ni kama majengo ya biashara au zile zilikuwa zinajengwa na mkoloni, utazikuta kwenye miji ya zamani.
Hazivutii au huna pesa? 😂😂😂

Kuna nyumba zinashinda hizi contemporary Kwa muonekano? Unadhani zinawika sana Kwa sababu ipi?

Hizo nyumba zinaongoza Kwa mvuto na zinaruhusu kuweka mbwembwe za Kila aina,hizo pitch roof ni nyumba za maskini Kila mtu anaweza Jenga
 
Hazivutii au huna pesa? 😂😂😂

Kuna nyumba zinashinda hizi contemporary Kwa muonekano? Unadhani zinawika sana Kwa sababu ipi?

Hizo nyumba zinaongoza Kwa mvuto na zinaruhusu kuweka mbwembwe za Kila aina,hizo pitch roof ni nyumba za maskini Kila mtu anaweza Jenga
Punguza ushamba. Usidhani comtemporary ni neno kubwa sana. Contemporary linamaanisha "ya kisasa" . Contemporary house ni nyumba ya kisasa. Sasa hizo hidden roof zipo toka enzi za mkoloni zinakuwaje za kisasa? Yaani mchoraji anakuingiza king kwa kukwambia hayo mabanda yaliyokuwepo toka enzi za mkoloni ni contemporary nawe unaingia!!? Muache kuita hayo mabanda contemporary.
 
Punguza ushamba. Usidhani comtemporary ni neno kubwa sana. Contemporary linamaanisha "ya kisasa" . Contemporary house ni nyumba ya kisasa. Sasa hizo hidden roof zipo toka enzi za mkoloni zinakuwaje za kisasa? Yaani mchoraji anakuingiza king kwa kukwambia hayo mabanda yaliyokuwepo toka enzi za mkoloni ni contemporary nawe unaingia!!? Muache kuita hayo mabanda contemporary.
Yangekuwa mabanda hata wewe ungejenga,isingekuwa big agenja mjini.
 
Ni nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu zinavuja mno lakini bado watu wanajenga sana nyumba kwa mtindo huo ambao sio rafiki hasa kipindi cha mvua.

Kuna mwenye nyumba hapa kila ikinyesha mvua lazima umuone fundi kapanda juu ya bati(navyotype tayari kuna fundi juu ya bati) na wapangaji wake wanalalamika sana maji kuingia ndani na kulowanisha vitu. Kila akiendelea kujenga style ni hiyo hiyo lawama nyingi akiziangushia kwa mafundi wake.

Mafundi upi ushauri wenu juu ya hili?
Upi ni mtindo mzuri wa kupaua nyumba kwa mazingira ya huku kwetu na aina ya mafundi tulionao mitaani?
View attachment 2805821
Mafundi mbona wapo tu
 
NIlimaanisha kuwa contemporary unapoijenga hakikisha una mshauri kuanzia mwanzo na usitenganishe ulete fundi wa kujenga boma then baadae utafute wa roofing.

Hakikisha una msimamizi wa nyimba yako kama mshauri atakayehakikisja mchoro unafuatishwa bila kukosewa:.

Note: si kila mchoraji ili mradi anachora aweza kuku-dizainia nyumba hizi.

Zinahitaji mchoraji profesheno....najua hutanielewa tena.
Nakosa lugha rahisi zaidi
Nmekuelewa mkuu nimezingatia neno profesheno. Shukrani
 
Ni nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu zinavuja mno lakini bado watu wanajenga sana nyumba kwa mtindo huo ambao sio rafiki hasa kipindi cha mvua.

Kuna mwenye nyumba hapa kila ikinyesha mvua lazima umuone fundi kapanda juu ya bati(navyotype tayari kuna fundi juu ya bati) na wapangaji wake wanalalamika sana maji kuingia ndani na kulowanisha vitu. Kila akiendelea kujenga style ni hiyo hiyo lawama nyingi akiziangushia kwa mafundi wake.

Mafundi upi ushauri wenu juu ya hili?
Upi ni mtindo mzuri wa kupaua nyumba kwa mazingira ya huku kwetu na aina ya mafundi tulionao mitaani?
View attachment 2805821
Mafundi wengi hawana utaalamu,bado ni vilaza
 
Back
Top Bottom