Ni mwendo wa kutapika nyongo.. Alianza Diallo ... Nyongo yake imewauguza sana haikuwa diluted kama hiiMNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.
Chanzo: Darmpya Blog
kumbuka hizi ni siasa,kazi ya siasa ni kusemaFanyeni kazi acheni kuwasema watu, tunataka kuona performance sio kusemasema watu.
Katibu Mkuu UVCCM anasemaje !.Tuendelee kunywa mtori,nyama tutazikuta chini!
Haji jumaa ndio nani? Mwenyekiti wa ccm ndio rais alitaka halmashauri kuu iielekeze nini serikali wakati wameshapitisha manifesto kuagiza nini serikali ifanye. Kinachofuata ni serikali kutoa taarifa kuhusu inavyotekeleza manifesto ya uchaguzi.MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.
Chanzo: Darmpya Blog
Kuna mtu kamtaja haji jumaa eti anafaa kumrithi samia. Naona ndio wameanza kuchafua viongozi wazuri kupangana wababaishaji na wachumia tumbo.Saizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
Watamaliza style zote maana midundo bado ni mingi.Kina Kenan Kihongosi wamepata ngoma nyingine ya kudundika
Kulikuwa chama basi au genge la matapeli na wauaji tu.MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.
Chanzo: Darmpya Blog
Na wewe ni kijani?Bado sijatema ya kwangu , naiweka Sawa hapa
Ndio maana kapigwa adhabu ya kifo ili apishe watu wema wasemeSaizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
Na Haiti yangetukaribia kwa mwendo uleSaizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
UVCCM wanajifanya kufa na tai shingoni!Kipindi cha dikteta hali ilikuwa mbaya sn
Mungu amemtanguliza kuokoa walio wengi!Saizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
πππTuendelee kunywa mtori,nyama tutazikuta chini!
Wajinga snUVCCM wanajifanya kufa na tai shingoni!