MNEC Haji Jumaa ambomoa Dkt. Bashiru Ally

MNEC Haji Jumaa ambomoa Dkt. Bashiru Ally

MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.

Chanzo: Darmpya Blog
Ni mwendo wa kutapika nyongo.. Alianza Diallo ... Nyongo yake imewauguza sana haikuwa diluted kama hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
People must learn to stay kwa lanes zao.
Kushinda kuisema serikali ilopita ndio maendeleo?Taifa linalopenda kushabikia maneno badala ya vitendo.

Wapinzani wanataka ccm iharibu ndio ijipenyeze,sasa sjui mnafikiri mama haelewi!
Mchezo wenu unaonekana dhahiri,mnaside na mama apitishe agenda zenu mpenye.
Mkae mkijua no matter what mama nae anajielewa,anawazoom tu.
 
MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.

Chanzo: Darmpya Blog
Haji jumaa ndio nani? Mwenyekiti wa ccm ndio rais alitaka halmashauri kuu iielekeze nini serikali wakati wameshapitisha manifesto kuagiza nini serikali ifanye. Kinachofuata ni serikali kutoa taarifa kuhusu inavyotekeleza manifesto ya uchaguzi.
Huyu naye ni wale wanaojaribu kuchafua legacy ya jpm na watu wake wa karibu.
 
Kina Kenan Kihongosi wamepata ngoma nyingine ya kudundika
 
Saizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
Kuna mtu kamtaja haji jumaa eti anafaa kumrithi samia. Naona ndio wameanza kuchafua viongozi wazuri kupangana wababaishaji na wachumia tumbo.
 
MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.

Chanzo: Darmpya Blog
Kulikuwa chama basi au genge la matapeli na wauaji tu.
 
Saizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
Ndio maana kapigwa adhabu ya kifo ili apishe watu wema waseme
 
Saizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
Na Haiti yangetukaribia kwa mwendo ule
 
Saizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
Mungu amemtanguliza kuokoa walio wengi!
 
Jamaa kapewa rushwa na maelekezo ya nini aseme,wafanyabiashara hawafai kila kitu kwao ni dili.
 
Back
Top Bottom