Tetesi: MNEC Kibajaji ashinikiza CCM imfukuze uanachama Luhaga Mpina

Tetesi: MNEC Kibajaji ashinikiza CCM imfukuze uanachama Luhaga Mpina

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
MBUNGE wa Mvumi na Mjumbe wa NEC ya CCM Taifa, Livingstone Lusinde maarufu Kibaji ametajwa kushinikiza vikao vya NEC ya CCM kuwa Chama kimfukuze Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina.

Lusinde anadaiwa kuvishawishi vikao vya chama kwamba Mpina hafai kuendelea kubaki CCM kutokana na msimamo wake wa kutaka waliotajwa kwenye ripoti ya CAG wachukuliwe hatua, pia msimamo aliouweka kwenye suala la Mkataba wa Bandari na DP World.

Taarifa za uhakika Lusinde ndiye mbunge pekee aliyesimama kwenye vikao vya NEC na kutaka Mpina afukuzwe CCM.

Wajumbe wa NEC wengine ambao ni mawaziri ni pamoja na Hussein Bashe, Prof. Makame Mbarawa, Dk. Mwigulu Nchemba, January Makamba, Nape Nauye, Dk. Ashatu Kijaji, Angela Kairuki, Dk. Angelina Mabula.
 
MBUNGE wa Mvumi na Mjumbe wa NEC ya CCM Taifa, Livingstone Lusinde maarufu Kibaji ametajwa kushinikiza vikao vya NEC ya CCM kuwa Chama kimfukuze Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina.

Lusinde anadaiwa kuvishawishi vikao vya chama kwamba Mpina hafai kuendelea kubaki CCM kutokana na msimamo wake wa kutaka waliotajwa kwenye ripoti ya CAG wachukuliwe hatua, pia msimamo aliouweka kwenye suala la Mkataba wa Bandari na DP World.

Taarifa za uhakika Lusinde ndiye mbunge pekee aliyesimama kwenye vikao vya NEC na kutaka Mpina afukuzwe CCM.

Wajumbe wa NEC wengine ambao ni mawaziri ni pamoja na Hussein Bashe, Prof. Makame Mbarawa, Dk. Mwigulu Nchemba, January Makamba, Nape Nauye, Dk. Ashatu Kijaji, Angela Kairuki, Dk. Angelina Mabula.
Kwani akifukuzwa WEWE UTAPATA FAIDA GANI?
 
Mpina ndiye jicho la CCM kutuonesha dosari. Hoja zake huwa zuna ushahidi wa Kitaalam. Tumpe nafasi atusaidie zaidi kama chama.
Kumziba mdomo ni hatari sana kwa chama na serikali pia
 
Hana akili, ndiyo maana Kikwete na Samia wameniuzia bandari yenu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dp world
 
MBUNGE wa Mvumi na Mjumbe wa NEC ya CCM Taifa, Livingstone Lusinde maarufu Kibaji ametajwa kushinikiza vikao vya NEC ya CCM kuwa Chama kimfukuze Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina.

Lusinde anadaiwa kuvishawishi vikao vya chama kwamba Mpina hafai kuendelea kubaki CCM kutokana na msimamo wake wa kutaka waliotajwa kwenye ripoti ya CAG wachukuliwe hatua, pia msimamo aliouweka kwenye suala la Mkataba wa Bandari na DP World.

Taarifa za uhakika Lusinde ndiye mbunge pekee aliyesimama kwenye vikao vya NEC na kutaka Mpina afukuzwe CCM.

Wajumbe wa NEC wengine ambao ni mawaziri ni pamoja na Hussein Bashe, Prof. Makame Mbarawa, Dk. Mwigulu Nchemba, January Makamba, Nape Nauye, Dk. Ashatu Kijaji, Angela Kairuki, Dk. Angelina Mabula.
Nafikiri ingefaa wa fukuze bajaji kwanza😂😂
 
Sasa wakimfukuza,Mpina anakwenda mahakamani kupinga .Tuone kesi yake itakuwaje?Hapo ndo tutajua chungu na tamu maana kesi ya kina.Covid 19 inapigwa tarehe mpaka 2025,je ya Mpina itakwendaje ?
Akifukuzwa ni siku hiyo hiyo Spika anamvua ubunge.... Double standards nchi hii ni ajabu sana.
 
MBUNGE wa Mvumi na Mjumbe wa NEC ya CCM Taifa, Livingstone Lusinde maarufu Kibaji ametajwa kushinikiza vikao vya NEC ya CCM kuwa Chama kimfukuze Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina.

Lusinde anadaiwa kuvishawishi vikao vya chama kwamba Mpina hafai kuendelea kubaki CCM kutokana na msimamo wake wa kutaka waliotajwa kwenye ripoti ya CAG wachukuliwe hatua, pia msimamo aliouweka kwenye suala la Mkataba wa Bandari na DP World.

Taarifa za uhakika Lusinde ndiye mbunge pekee aliyesimama kwenye vikao vya NEC na kutaka Mpina afukuzwe CCM.

Wajumbe wa NEC wengine ambao ni mawaziri ni pamoja na Hussein Bashe, Prof. Makame Mbarawa, Dk. Mwigulu Nchemba, January Makamba, Nape Nauye, Dk. Ashatu Kijaji, Angela Kairuki, Dk. Angelina Mabula.
Mimi binafsi sikumpenda Luhaga Mpina toka apime samaki aliye tayari kuliwa, na rula kwa mikono michafu kule bungeni.

Hata hivyo mawazo ya kumvua uanachama kwa vile anaikosoa serikali ni ya kijinga kabisa.

Akili za Kibajaji zinamtosha yeye na mke wake.
 
MBUNGE wa Mvumi na Mjumbe wa NEC ya CCM Taifa, Livingstone Lusinde maarufu Kibaji ametajwa kushinikiza vikao vya NEC ya CCM kuwa Chama kimfukuze Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina.

Lusinde anadaiwa kuvishawishi vikao vya chama kwamba Mpina hafai kuendelea kubaki CCM kutokana na msimamo wake wa kutaka waliotajwa kwenye ripoti ya CAG wachukuliwe hatua, pia msimamo aliouweka kwenye suala la Mkataba wa Bandari na DP World.

Taarifa za uhakika Lusinde ndiye mbunge pekee aliyesimama kwenye vikao vya NEC na kutaka Mpina afukuzwe CCM.

Wajumbe wa NEC wengine ambao ni mawaziri ni pamoja na Hussein Bashe, Prof. Makame Mbarawa, Dk. Mwigulu Nchemba, January Makamba, Nape Nauye, Dk. Ashatu Kijaji, Angela Kairuki, Dk. Angelina Mabula.
Unyumbu
 
MBUNGE wa Mvumi na Mjumbe wa NEC ya CCM Taifa, Livingstone Lusinde maarufu Kibaji ametajwa kushinikiza vikao vya NEC ya CCM kuwa Chama kimfukuze Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina.

Lusinde anadaiwa kuvishawishi vikao vya chama kwamba Mpina hafai kuendelea kubaki CCM kutokana na msimamo wake wa kutaka waliotajwa kwenye ripoti ya CAG wachukuliwe hatua, pia msimamo aliouweka kwenye suala la Mkataba wa Bandari na DP World.

Taarifa za uhakika Lusinde ndiye mbunge pekee aliyesimama kwenye vikao vya NEC na kutaka Mpina afukuzwe CCM.

Wajumbe wa NEC wengine ambao ni mawaziri ni pamoja na Hussein Bashe, Prof. Makame Mbarawa, Dk. Mwigulu Nchemba, January Makamba, Nape Nauye, Dk. Ashatu Kijaji, Angela Kairuki, Dk. Angelina Mabula.
Lusinde hajakurupuka bali anamaanisha!! Ukiwa CCM ni lazima ukubali na kusapoti kila kitu hata kama si sahihi au kina walakini, ww ni kupiga meza makofi tuu!!!
 
Back
Top Bottom