Mnh!! huyu demu Jack Patrick, hii lugha anayoongea kwenye Nirvana EATV dah kitukooooo...

Mnh!! huyu demu Jack Patrick, hii lugha anayoongea kwenye Nirvana EATV dah kitukooooo...

Bright Smart

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2011
Posts
643
Reaction score
312
Kwa wale mlioangalia kipindi cha NIRVANA EATV, yaani huyu demu hata kama mawazo yake ni kuongea kiingereza ndo aonekane bab' kubwa, nadhani ingekua safi kama angepiga msasa kizungu chake kabla ya kukimwaga kwenye TV show, maana alivyokomalia hizo "it's like, mara I sink ndoI think, mara zen ndo then" mnh kama vp ni bora angeongea kiswahili tu.
 
Hata "continental" Europeans (Germans, French etc) wanaposema Kiingereza kuna wanaosema kwa accents zao zenye hizo hizo "I sink" na "zen".

Pengine anaongea Kiingereza kwa accent ya Kifaransa au Kijerumani 🙂
 
ila sioni kama kuna umuhimu wa kuongea lugha inayokupa taabu pale pasipokua na ulazima wa kutumia lugha hiyo, host wa kipindi alikua akitumia kiswahili, ila huyo staa sasa ndo kakomaa na mvurugo enhe.
 
Bado tuu kuna mashauzi ya lugha za kigeni kwenye luninga zetu za waswahili?
kiingereza ni kwa msisitizo au ni show off!
 
Kwa wale mlioangalia kipindi cha NIRVANA EATV, yaani huyu demu hata kama mawazo yake ni kuongea kiingereza ndo aonekane bab' kubwa, nadhani ingekua safi kama angepiga msasa kizungu chake kabla ya kukimwaga kwenye TV show, maana alivyokomalia hizo "it's like, mara I sink ndoI think, mara zen ndo then" mnh kama vp ni bora angeongea kiswahili tu.
kama umemmaindi sema nikurushie namba yake
 
ndugu yangu alaumiwe aliohost kwa mara ya kwanza hicho kipindi maana alikuwa anapenda kuongea kiingereza kiasi kwamba kawaponza hadi hao wanaofatia..
 
Huyu dem kazaliwa na kukulia njombe sehemu moja inaitwa matalawe, babake alikuwa ni muingereza-mkandarasi wa barabara ya makambako-songea kampuni ya balfour beaty alizaa na mama wa kibena ila babake alipotaka kumchukua wajomba wakagoma!! sasa anashindwa kugonga vizuri lugha ya mdingi wake kutokana na mazingira aliyokulia!!
 
Hata "continental" Europeans (Germans, French etc) wanaposema Kiingereza kuna wanaosema kwa accents zao zenye hizo hizo "I sink" na "zen".

Pengine anaongea Kiingereza kwa accent ya Kifaransa au Kijerumani 🙂


[video=youtube_share;gh5xu35bAxA]http://youtu.be/gh5xu35bAxA[/video]
 
Aliniambia alishawah kukaa france 🙄😱
inawezekana yuko fit kifaransa basi, ila isije kua kakaa siku moja tu akakumaanishia kwamba alishawahi kuishi France, si unajua mastaa wa bongo!!
 
Cku zote super star anaugonjwa wa dharau uyo alikuwa na dharau ya lugha ya kiswahl ndo mana akaamua kuöngea hicho chake
 
Ni ujinga tu, mbona wa italiano, wafaransa na mataifa mengine wanaongea lugha zao na kuzitukuza?
 
Back
Top Bottom