Mnielimishe: Ni kitu gani haswa Nyerere alikitaka kwenye Muungano, maana nachoona tunapigwa wazi wazi

Nyerere alikuwa na roho nzuri,alisaidia nchi nyingi,kuzikomboa,hakujali Rangi,dini,ukabila,hata wapalestina aliwasaidia,na mpaka leo wanamkumbuka kwa mema yake.
 
Dah huu ni ubwege Kwa hiyo miaka yote kumbe Kero za muungano zinaelea Ndani ya Mashua tu. Hii si haki hata kidogo
 
Muungano haukuwa Takwa la nyerere bali takwa la nchi za kibepari kama uingereza wakihofia nchi za ujamaa zisije zikaichukua Zanzibar na kuwa koloni la ki -socialist!!!!Nyerere kama kijana Mwaminifu alitumwa kuichukua Zanzibar iwe chini ya himaya ya kibepari!!Hata Neno Tanzania Lilitengenezwa na wao mabepari!!!
 
EeenHeee!
Wewe una ufahamu wa kipekee kabisa.
Hebu andika kitabu cha historia hiyo mkuu, tutakisoma.
 
Haaaa haaaa support ya kufungua minyororo
 
Kama ingekua hivo .....unazan why Tz ili adopt socialism
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…