Mnielimishe: Ni kitu gani haswa Nyerere alikitaka kwenye Muungano, maana nachoona tunapigwa wazi wazi

hizo hizo tutagawana katikati mzee, mbona mgumu kuelewa, kwahiyo ulifikiri zanzibar watachukua eneo lote la bahari hadi kigamboni? Noo
Sawa kwani nimekubishia, sasa eneo la bahari linaloizunguka zanzibar nje ya hizo tulizogawana linabaki kwa nani? Maana hapo tumeongelea eneo la bahari linalounganisha zanzibar na dsm tu, kuna maeneo ambayo hayaionganishi zanzibar na bara, unayafahamu hayo na ukubwa wake?
 
Nimejaribu kuonyesha eneo la bahari ya Zanzibar ( maili 12 + 12 contigouus zone).
Hii ni bila eneo la kiuchumi. Sijui mstari upande wa kusini wa kiuchumi utaelekeaje.
Baadaye litatokea tatizo maalum: swali la Latham au Fungu Kizimkazi. Ni kisiwa kidogo kisicho na watu, lakini ni eneo la Zanzibar. Hadi sasa hakikuwa na umuhimu wowote. Ila kama ni kutengana, itakuwa ni jambo la eneo la bahari. Ikiwezekana kuonyesha ni sehemu ya funguvisiwa la Zanzibar, basi maji yote kati ya Fungu Kizimkazi na Unguja ni bahari ya Zanzibar. ("archipelagic waters"). Meli zina haki ya kupita, ila nchi inaweza kuamua njia fulani pekee kwa matumizi ya nchi nyingine.
Ona Fungu Kizimkazi - Wikipedia, kamusi elezo huru

Naona kutengana si hoja lenye busara sana nikiona uwezekano mkubwa kwa matatizo yajayo.
 
[emoji3][emoji3]
 
tangu umezaliwa hadi leo eneo hilo umefaidika nalo vipi? pia, ujue zanzibar watahesabu nautical miles zao 12 beyond that, ni eneo la kimataifa yeyote analitumia. the same applies, hata sisi hatumiliki bahari yote, ni kwa miles zile tu zinazoruhusiwa kimataifa, kwengine huko tena karibu tu na tanzania wapo wachina wanavua samaki na mameli huko na hawakamatwi, ni eneo huru.
 
Yote yalifanywa kuisecure BARA zanzibar isingeungana na Mainland ilikua iwe taifa la dola ya kiislamu, afu intellejensia ya America(Ama uingereza kama sijakosea) ilimtonya mchonga kwamba kingekua kitovu cha mafunzo ya.....automatically bara isingetawalika.....sababu ya pili ilikua influence ya Vatican kwa mwl hapa sielezi sana ila it is what it is
 
Sasa hilo swali la kufaidika unalilenga kwangu binafsi au kwa nchi ya Tanganyika ?πŸ˜πŸ˜πŸ˜†

Unayaona hayo maeneo yenye vidoti? Wewe unadhani yana manufaa kwa Tanganyika au hayana?



 
Umeulizwa ni kwanini nchi ziliunganishwa? Toa sababu kama unaijua. Yaani hayo ''mawazo mazuri'' yalikuwa ni kuhusu nini?
 
Gwanya hizo mara 2, Km 58 za kwao na 58 kutoka Dar za kwetu kwa upande huo.
Na eneo linalobaki nje ya hizo km?

KWANI ENEO LA BAHARI ALILONALO ZANZIBAR UNALIFAHAMU? KAMA NI NCHI IKISEMA MELI ZA NCHI YA TZ ZISIPITE ENEO LETU UNAFAHAMU TUTAATHIRIKA VIPI? MWISHO WAO WANA UWEZO WA KIJESHI KULINDA ENEO LAO LILILOUNGANA NA SISI NA MAHARAMIA NA WAUZA MADAWA?

Mkuu Yoda, Majibu yake wala usinipe wewe hitimisha tu kwa namna unavyopenda wewe.
 

Attachments

  • images (48).jpeg
    42.9 KB · Views: 3
Sasa hilo swali la kufaidika unalilenga kwangu binafsi au kwa nchi ya Tanganyika ?πŸ˜πŸ˜πŸ˜†

Unayaona hayo maeneo yenye vidoti? Wewe unadhani yana manufaa kwa Tanganyika au hayana?

View attachment 2029681

View attachment 2029682
kwenye hivyo vidoti mbona ni ushelisheli, comboro na reunion huko. chukua hiyo ramani uliyoweka hapo, angalia visiwa vya zanzibar vilipo, hesabu kuanzia kwenye pwani ya visiwa vyao nautical miles 12 tu ndio wanamiliki, kuja tz na upande wa pili. beyond that ni international water. ni petu wote, na dunia yote.
 
Huku tupo noa easy, wao kule wapo ni sisi kiugumu sana...
 
Sawa.
 
Tatizo nyie vijan hamuelewi, nyerere aliona mbari sana for security reasons kwasababu hata leo hii zanzbar wakijitenga hawata survive coz watakua week kijeshi kitendo cha nyerere kuleta muungano ni kutaka ku access eneo kubwa la bahari ya hind
Kwa gharama kubwa hivyo. Is it necessary.....!!? Hata UK siyo rahisi kukuta Scott anaongoza nchi... Gordon Brown aliachika na Tony Blair lakini alidumu tu kwa miaka 3.

Hata Nyerere angekuwepo leo asingekubali hili. Yes, Maza amepata kwa ajili ya constitution lakini miaka 10, Big No. Wakati wa Mwinyi it was OK kwakuwa chama kilikuwa kimeshika hatamu. Lakini what happened then wenye akili G55 waliona...!!
 

Zanzibar Wanapopaa ijue Siri ya Mafanikio yao
 


Zanzibar ikiwa huru itarudi kwa Mwaraabu fasta. Baadaye watataka mikoa yote ya Pwani. Utumwa kwa weusi utarudi, ikumbukwe Zanzibar ilikuwa Soko kuu la watumwa.

Usalama kwa Tanganyika utakuwa mgumu. Pia Nyerere alikuwa na maono ya kuiunganisha Afrika yote ukianzia na ukanda wako. Alitaka Kenya, Uganda, Tanzania ziwe kitu kimoja pamoja na Zanzibar.
 
Ni hulka yetu Wabongo tunajifanya ujanja mwingi halafu tundu bovu Zanzibar ni tundu bovuπŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†
 
Eneo lilibaki upande mashariki watakuwa na haki ya kumiliki eneo la ukubwa wa nm 12 ambazo zitakuwa eneo lao rasmi likijumuisha na anga, eneo lingine la nm 24 za ziada litakuwa la kwao lakini halitajumuisha anga. Eneo lingine lote la bahari linalobaki ni maji ya kimataifa ambapo halitamilikiwa na yeyote, hivyo ndivyo ilivyo kwetu na nchi nyingine zote kwa sehemu zisizopakana na visiwa.
 
watakata mikoa yote ya pwani ya wapi? wakati pwani yoote Mjerumani ndio alitawala, Mafia Mjerumani aliinunua toka kwa sulan, na wazanzibari hilo hawalijui kwasababu shule imeenda kushoto. soma historia ndio uje kujadili hapa. hakuna pwani yeyote itakayodondokea kwao, wala kisiwa chochote, vyote hivyo vilikuwa Germany EAst Africa. vile visiwa vyao viwili tu na twingine tudogo tusitoonekana around there, ndio vilikuwa vimebaki kwa sultani na ndivyo walivyovikomboa. manake ukitaka kusema hivyo wao wanaamini hadi dsm ni mali yao, hapa dsm watakuja kwa visa, au la watarudishwa kwa kutembea kwa mguu hadi nungwi.

sisemi hivi ili kuuvunja muungano, naupenda, ila nawaonya wanaotibua maji wajue wakitibua ukavunjika wao ndio watakula hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…