Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Wakulungwa habari zenu
Kama mada inavyojieleza
Nahitaji mpunga kutoka katika maeneo yanayozunguka kanda ya ziwa hasa mikoa ya Geita,Mwanza,Simiyu na Shinyanga
Bei ikoje kwa gunia 1 na upatikanaji wake pamoja na usafirishaji wake ukoje
Mnijuze tafadhali.
Kama mada inavyojieleza
Nahitaji mpunga kutoka katika maeneo yanayozunguka kanda ya ziwa hasa mikoa ya Geita,Mwanza,Simiyu na Shinyanga
Bei ikoje kwa gunia 1 na upatikanaji wake pamoja na usafirishaji wake ukoje
Mnijuze tafadhali.