Mnigeria Ayobola Abiola ameweza vipi kuongoza Benki Tanzania?

Mnigeria Ayobola Abiola ameweza vipi kuongoza Benki Tanzania?

Mwanakijiji

Huyu jamaa ni kiboko. Hebu nenda kasome hapa Investigative Panel Reports kisha search for his name, utaona jinsi alivyozoea mambo ya money laundering.

Kweli Bongo ni shamba la bibi!


iii.The sum of N42 Million collected from Mr. Abiodun Fari-Arole of Grid Associates through Mr. Ayobola Abiola, then of the Standard Trust Bank Plc, now with FCMB Plc, Dugbe Branch being proceeds of the contract for Fountain Hotel and Governor's Office
 
kwa kweli hapa usalama wa taifa mmetuangusaha sana jamani. Hivi hadi haya yote yanatendeka mnakuwa wapi wandugu. Ongezeni juhudi vinginevyo nchi yetu itakuwa kwenye hatari sana. Kataeni kufuatilia mambo ya siasa ili mjikite zaidi kwenye usalama wa taifa letu. Hapa tunawategemea sana jamani. Mambo ya siasa waachieni hao hao wanasiasa msiwatumikie hata kidogo. Wakimbieni na muwakatae kama ukoma.
labda alimnunulia rais suti
 
Majina ya wanaijeria huwa yanafanana inawezekana huyo ni mtu tofauti kama majina ya wachaga unaweza kukuta John Mushi , au Manka KImario kibao
 
Back
Top Bottom