Mnijuze: Nani alikuwa bora kati ya Peter Manyika na Mohamed Mwameja?

Alidaka huyo huyo Mwameja na akachezea bao mbili za haja mbele ya mzee Ruksa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kufungwa goli mbili hakukuondoa ukweli huo kwamba aliendelea kuwa Tanzania One. Huwa tunaangalia na ukubwa wa mashindano. Dennis Onyango ameingia katika wachezaji wanaowania mchezaji bora wa ndani wa Africa, licha ya kwamba alifungwa goli 3 na Taifa Stars
 
Safi sana mkuu, lazima wajue kua kipa bora haina maana kwamba hafungwi. Kipa wa namna hiyo hajawahibkutokea wala hatatokea sio Tanzania bali ulimwenguni kote
 
Mwameja kama Manula tu...Ken Mkapa alipiga shuti Mbagala goli linaingia Bunju mikia wanakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…