Mnijuze: Nani alikuwa bora kati ya Peter Manyika na Mohamed Mwameja?

Mnijuze: Nani alikuwa bora kati ya Peter Manyika na Mohamed Mwameja?

hii historia adimu sana kuipata.. nashukuru kwa kuiweka hapa nami nimefurahi kusoma kuna watu ambao wana hazina ya kumbukumbu kama hizi. unaweza ukaenda klabuni simba usiikute... haya mambo ni ya muhimu sana kusimulia kwa kizazi hiki.

Mwameja huwezi kumfananisha na Peter Manyika. Mwameja alicheza kipindi ambacho Simba ilitamba pia katika mechi za kimataifa, hasa mwaka 1993. Mwameja aliinyima kwa kiasi kikubwa ushindi timu hatari kutoka Angola iliyokuwa ikijulikana kama ASA, yaani Atletico Sportive Aviacao, ikiwa na winga hatari kabisa Libengue, na wachezaji maarufu kama vile kipa wao Kanka Vemba, Abilio, Arlindo, Kuleka, Lolo, Gito, Gerry na Libengue mwenyewe. Alizuia mabao ya wazi hasa waliporudiana kwao mjini Luanda na mechi iliisha 0-0 na Simba ilisonga hadi fainali ya kombe la CAF kwa jumla ya mabao 3-1 iliyoyapata Dar. Mechi nyingine ya maajabu ni ile ya ya kombe la Challenge kati Simba na El Mereikh ya Sudan ambapo zilikuwa katika kundi moja, Simba ikihitaji ushindi huku wenyeji El Mereikh wakihitaji walau sare. Mwameja aliokoa mabao ya wazi na hadi dakika za mwisho mwisho mambo yalikuwa 1-1, dakika ya 87 hivi Nteze John akaiandikia Simba bao la pili, taa zikazimwa, washabiki wakavamia uwanja na kuwapiga wachezaji na hasa Mwameja ambaye alishangilia bao la pili kwa kuwakatia kiuno washabiki wa Mereikh. Pambano lilivunjika na Simba wakalazimishwa wacheze tena kesho yake, wakajitoa maana walipigwa kweli kweli, na El Mereikh ikaingia kwa ushindi wa mezani na ikatakiwa ikutane na mahasimu wao El Hilal, na El Hilal wakajitoa kuungana na Simba kwa kusema kwamba hawawezi kucheza na timu iliyofungwa, yaani El Mereikh
 
Kama uliweza kumwona Mwameja na kwa sasa unatumia neno SHEEDAR hakika unazidi kupotea uzeeni utakuwa mzito akilini.

Kama ni mwanaume na umeanza kushindanisha wanaume uzuri uzeeni unaweza kuwa Shoga.
Mwameja alikuwa sheedar. Uwezo wa Kipa huwa kwenye kuokoa one against one. Mwameja alikuwa bora zaidi kwenye eneo hilo. Aliokoa penalty nyingi na alikuwa anadaka moja kwa moja yaani kumeza au kuficha mashuti zaidi ya kuyapangua. Peter Manyika alikuwa mzuri kwenye purukushani mfano Kona n.k., alikuwa anaokoa kwa kupangua zaidi na hakuwa mzuri kwenye penalty.

Mwameja pia alikuwa na u-handsome fulani hivi, hivyo aliongeza mvuto.
 
Wakuu wa hili jukwaa, haswa wale wakongwe katika soka, mje mtujuze nani alikuwa bora haswaa katika eneo la golikipa kati ya golikipa wa zamani wa Yanga na Taifa Stars Peter Manyika na mlinda mlango wa zamani wa Simba na Taifa Stars Mohamed Mwameja?

Karibuni kwa mjadala
MWAMEJA MOHAMED MWAMEJA uwezo wake bado haujafikiwa na kipa yeyote tanzania tokea alipotundika daruga. GOLIKIPA BORA WA MUDA WOTE
 
Pondamali alikuwa karataker na dojo alilofundishiwa ni kwa sensei bobani wanasema alikuwa na black belt
Tukiwa shule ya Msingi kulikuwa na Jamaa tulimuita Ponda, almaarufu Pondaa...na alikuwa bonge la golikipa ingawa mpira wetu ulikuwa wa makaratasi.

Shule nzima alijulikana kwa jina hilo kuliko jina lake halisi.
 
comment ya jamaa imenishtua sana .. nmegundua tuna kazi kubwa sana sisi watu wazima humu JF. mimi miaka yangu yoooote sijawahi sikia mwanaume anamsifia mwanaume mwenzie kuwa ni handsome... mwanaume kamili hawezi hata jua tofaut ya mwanaume huyu na yule kwa mtizamo huo. lakini zaidi zaidi ni matumizi ya maneno kama hayo "sheedar"? sijajua tunaelekea wapi maana najua tulipotoka ila tunakoelekea kwa watu wa namna hii ni hatari sana kwa mustakabari wa taifa hili changa.

Kama uliweza kumwona Mwameja na kwa sasa unatumia neno SHEEDAR hakika unazidi kupotea uzeeni utakuwa mzito akilini.

Kama ni mwanaume na umeanza kushindana wanaume uzuri uzeeni unaweza kuwa Shoga.
 
Tulia tu Ndugu kwa kweli tuna kazi sana kwa sasa.
comment ya jamaa imenishtua sana .. nmegundua tuna kazi kubwa sana sisi watu wazima humu JF. mimi miaka yangu yoooote sijawahi sikia mwanaume anamsifia mwanaume mwenzie kuwa ni handsome... mwanaume kamili hawezi hata jua tofaut ya mwanaume huyu na yule kwa mtizamo huo. lakini zaidi zaidi ni matumizi ya maneno kama hayo "sheedar"? sijajua tunaelekea wapi maana najua tulipotoka ila tunakoelekea kwa watu wa namna hii ni hatari sana kwa mustakabari wa taifa hili changa.
 
comment ya jamaa imenishtua sana .. nmegundua tuna kazi kubwa sana sisi watu wazima humu JF. mimi miaka yangu yoooote sijawahi sikia mwanaume anamsifia mwanaume mwenzie kuwa ni handsome... mwanaume kamili hawezi hata jua tofaut ya mwanaume huyu na yule kwa mtizamo huo. lakini zaidi zaidi ni matumizi ya maneno kama hayo "sheedar"? sijajua tunaelekea wapi maana najua tulipotoka ila tunakoelekea kwa watu wa namna hii ni hatari sana kwa mustakabari wa taifa hili changa.
Unakuta dume limeandika Lol, au jomoni bila shaka ni bwabwa
 
Mwameja huwezi kumfananisha na Peter Manyika. Mwameja alicheza kipindi ambacho Simba ilitamba pia katika mechi za kimataifa, hasa mwaka 1993. Mwameja aliinyima kwa kiasi kikubwa ushindi timu hatari kutoka Angola iliyokuwa ikijulikana kama ASA, yaani Atletico Sportive Aviacao, ikiwa na winga hatari kabisa Libengue, na wachezaji maarufu kama vile kipa wao Kanka Vemba, Abilio, Arlindo, Kuleka, Lolo, Gito, Gerry na Libengue mwenyewe. Alizuia mabao ya wazi hasa waliporudiana kwao mjini Luanda na mechi iliisha 0-0 na Simba ilisonga hadi fainali ya kombe la CAF kwa jumla ya mabao 3-1 iliyoyapata Dar. Mechi nyingine ya maajabu ni ile ya ya kombe la Challenge kati Simba na El Mereikh ya Sudan ambapo zilikuwa katika kundi moja, Simba ikihitaji ushindi huku wenyeji El Mereikh wakihitaji walau sare. Mwameja aliokoa mabao ya wazi na hadi dakika za mwisho mwisho mambo yalikuwa 1-1, dakika ya 87 hivi Nteze John akaiandikia Simba bao la pili, taa zikazimwa, washabiki wakavamia uwanja na kuwapiga wachezaji na hasa Mwameja ambaye alishangilia bao la pili kwa kuwakatia kiuno washabiki wa Mereikh. Pambano lilivunjika na Simba wakalazimishwa wacheze tena kesho yake, wakajitoa maana walipigwa kweli kweli, na El Mereikh ikaingia kwa ushindi wa mezani na ikatakiwa ikutane na mahasimu wao El Hilal, na El Hilal wakajitoa kuungana na Simba kwa kusema kwamba hawawezi kucheza na timu iliyofungwa, yaani El Mereikh
Waarabu fitna wameanza kitambo😂😂😂
 
Kujaribu kumlinganisha Mwameja na Manyika ni sawa na kujaribu kulinganisha suruali na chupi.Mi ni shabiki mkubwa wa Yanga but Mwameja was something else ..Alikuwa hafungiki .Katika mechi ambazo Yanga ilimfunga Mwameja basi jua kilikuwa na mkono wa Gulamali
 
Mwameja huwezi kumfananisha na Peter Manyika. Mwameja alicheza kipindi ambacho Simba ilitamba pia katika mechi za kimataifa, hasa mwaka 1993. Mwameja aliinyima kwa kiasi kikubwa ushindi timu hatari kutoka Angola iliyokuwa ikijulikana kama ASA, yaani Atletico Sportive Aviacao, ikiwa na winga hatari kabisa Libengue, na wachezaji maarufu kama vile kipa wao Kanka Vemba, Abilio, Arlindo, Kuleka, Lolo, Gito, Gerry na Libengue mwenyewe. Alizuia mabao ya wazi hasa waliporudiana kwao mjini Luanda na mechi iliisha 0-0 na Simba ilisonga hadi fainali ya kombe la CAF kwa jumla ya mabao 3-1 iliyoyapata Dar. Mechi nyingine ya maajabu ni ile ya ya kombe la Challenge kati Simba na El Mereikh ya Sudan ambapo zilikuwa katika kundi moja, Simba ikihitaji ushindi huku wenyeji El Mereikh wakihitaji walau sare. Mwameja aliokoa mabao ya wazi na hadi dakika za mwisho mwisho mambo yalikuwa 1-1, dakika ya 87 hivi Nteze John akaiandikia Simba bao la pili, taa zikazimwa, washabiki wakavamia uwanja na kuwapiga wachezaji na hasa Mwameja ambaye alishangilia bao la pili kwa kuwakatia kiuno washabiki wa Mereikh. Pambano lilivunjika na Simba wakalazimishwa wacheze tena kesho yake, wakajitoa maana walipigwa kweli kweli, na El Mereikh ikaingia kwa ushindi wa mezani na ikatakiwa ikutane na mahasimu wao El Hilal, na El Hilal wakajitoa kuungana na Simba kwa kusema kwamba hawawezi kucheza na timu iliyofungwa, yaani El Mereikh
Saluti kwako, umenikumbusha mbali sana, mwaka ambao niliwachukia Yanga kikwelikweli na sijawapenda tena pale Simba ilipocheza fainal na Stela (kama sikosei) uwanja wa Taifa, nikiwa safarini ndani ya basi nikasikia kelele kwenye radio watu wanashangilia Mtoto wa kike nikanyanyuka na kushangilia kwa sauti basi zima wananiangalia, nikijua Simba imefunga kidogo nasikia 'uzalendo umetushinda" niliumia sana, nikiwa nje ya Tanzania Yanga ilikuja kwa mashindano sikukubali kwenda uwanjani japo baadae nilikwenda kwa shingo upande kama kawaida yao ilifungwa nilinyamaza kimya maana ningeshangilia kufungwa kwao wenyeji wangenishangaa, zamani wakiwa mechi za nje nilikuwa nawashabikia sio sasa hapana.
 
comment ya jamaa imenishtua sana .. nmegundua tuna kazi kubwa sana sisi watu wazima humu JF. mimi miaka yangu yoooote sijawahi sikia mwanaume anamsifia mwanaume mwenzie kuwa ni handsome... mwanaume kamili hawezi hata jua tofaut ya mwanaume huyu na yule kwa mtizamo huo. lakini zaidi zaidi ni matumizi ya maneno kama hayo "sheedar"? sijajua tunaelekea wapi maana najua tulipotoka ila tunakoelekea kwa watu wa namna hii ni hatari sana kwa mustakabari wa taifa hili changa.
kama hujawahi sikia mwanaume anamsifia mwanaume mwenzake basi aidha ulipoishi hakuna wanaume handsome au mna wivu na mazuri ya mtu,zamani ilikua rahisi kusema nampenda michael jackson,nampenda aurus mabele,leo ukisema nampenda diamond panakua na reactions kama zako..ni kwa kuwa mnawaza ngono mno..ni kweli mwameja alikua handsome
 
Back
Top Bottom