Eternal_Life
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 812
- 1,674
Hahahaha🙂🙂🙁 Au labda watakupeleka mitaa ya Ununio, wakutupe barabarani, upate KIKI, utunge nyimbo ya ya Equatorial Guinea! ...au Rwanda..Mungu akuongoze lakini wakirudi nyuma itakubidi uwafuate wao ili ngoma iwe droo. Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wacha hiyo gari ikufuate na ikumalize kabisa.Sichanganyikiwi mgonjwa kweli
Wakuu dua zenu zinahitajika kuna gari inanifuata kimya kimya.
Nikisimama nao wanasimama narudia tena dua zenu leo kuna kazi kubwa sana.
tokomea mahali kusikojulikanaWakuu dua zenu zinahitajika kuna gari inanifuata kimya kimya.
Nikisimama nao wanasimama narudia tena dua zenu leo kuna kazi kubwa sana.
Wakuu dua zenu zinahitajika kuna gari inanifuata kimya kimya.
Nikisimama nao wanasimama narudia tena dua zenu leo kuna kazi kubwa sana.