Baada ya muda mrefu kuwa gesti katika JF nimeamua nami kuingia rasmi hadi ukumbini. Nimekuja na agenda moja tu -- mabadiliko -- kwani nachukia sana watu wa magamba na usanii wao.
Kwa hiyo msiniulize niko upande gani -- ni upande wa ukweli na haki tu -- hadi kieleweke!