Anguko? 😳[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....umempatia sana, na kimsingi ukiondoa mbususu hakuna sababu nyingine yenye mashiko kuweza kuleta anguko kwa mwanaume kama mleta mada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpigie Dr.Mwakyembe akutajie ule ugonjwa aliambiwa anaumwa alipopelekwa India ambao anadai haujulikani katika medical dictionary.Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.
Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.
Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.
Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.
Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
Waambie una mimba!Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.
Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.
Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.
Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.
Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
Kuna nyakati kwenye maisha uongo ndio suluhisho pekee.Unatafuta ushauri wa uongo kwa wataalam kama Dr daa
Kweli tutafika?
Jamaa wameuliza ili udanganye maana wanajua uongo umezaliwa kwetu
Waambie ukweli tu kama huna hela omba uchangiwe
Ukidsnganya unaumbuka believe me
Labda kwa mwanamke 😄Kuna nyakati kwenye maisha uongo ndio suluhisho pekee.
Au kifua kikuu, hawachomoki. Labda kama kifua kikuu kipo kwenye orodha ya visa refusal ila matibabu yake ni miezi 6 so ni easy watu kukuelewa.Mafua; waambie yamekuwa chronic. Wanaweza wakakutumia hata zawadi kwa taarifa zako nzuri kwao
waambie una COVIDNimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.
Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.
Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.
Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.
Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.