Mnisaidie: Ni ugonjwa gani naweza utumia kama excuse ya kuahirisha masomo nje ya nchi?

Mpigie Dr.Mwakyembe akutajie ule ugonjwa aliambiwa anaumwa alipopelekwa India ambao anadai haujulikani katika medical dictionary.
 
Waambie una mimba!
 
Unatafuta ushauri wa uongo kwa wataalam kama Dr daa
Kweli tutafika?
Jamaa wameuliza ili udanganye maana wanajua uongo umezaliwa kwetu
Waambie ukweli tu kama huna hela omba uchangiwe

Ukidsnganya unaumbuka believe me
 
Unatafuta ushauri wa uongo kwa wataalam kama Dr daa
Kweli tutafika?
Jamaa wameuliza ili udanganye maana wanajua uongo umezaliwa kwetu
Waambie ukweli tu kama huna hela omba uchangiwe

Ukidsnganya unaumbuka believe me
Kuna nyakati kwenye maisha uongo ndio suluhisho pekee.
 
Mafua; waambie yamekuwa chronic. Wanaweza wakakutumia hata zawadi kwa taarifa zako nzuri kwao
Au kifua kikuu, hawachomoki. Labda kama kifua kikuu kipo kwenye orodha ya visa refusal ila matibabu yake ni miezi 6 so ni easy watu kukuelewa.
 
waambie una COVID
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…