Mnisaidie: Ni ugonjwa gani naweza utumia kama excuse ya kuahirisha masomo nje ya nchi?

Mnisaidie: Ni ugonjwa gani naweza utumia kama excuse ya kuahirisha masomo nje ya nchi?

Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.

Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.

Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.

Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.

Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
Waambie umeugua kifafa uko kwenye matibabu ya miezi 6 chino ya uangalizi wa madaktari wa Mirembe. Na Mungu asiwe mchoyo akupe hakika huo ugonjwa!
 
Waambie umeugua kifafa uko kwenye matibabu ya miezi 6 chino ya uangalizi wa madaktari wa Mirembe. Na Mungu asiwe mchoyo akupe hakika huo ugonjwa!
Angalia Mungu asije kukupa wewe unachoniombea, jina lake halitajwi bure.
 
Angalia Mungu asije kukupa wewe unachoniombea, jina lake halitajwi bure.
Sasa wewe Mungu kakujalia afya tele unafanyishiaje ugonjwa? Chunga sana Mungu hajaribiwi kwa ujinga kama huo! Kwa nini usitafute sababu nyingine badala ya kusingizia ugonjwa?
 
kweli life sio fear aisee watu wanaangaika kwenda abroad wewe unatafuta excuse ya kuto kwenda
Tena excuse yenyewe sasa linataka lisingizie ugonjwa! Hapa Mungu kama ataweza alipige mpaka liombepo!
 
Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.

Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.

Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.

Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.

Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
Hakuna sheria inayokulazimu utaje ugonjwa wako kwa mtu yeyote. Hiyo ni faragha.

Unachohitaji ni kwenda kwa daktari akuandikie barua inayokupa maelekezo ya kupymzika au kutokufanya kazi kwa kipindi maalumu, kipindi hicho inabidi ijumuishe na part of your study semester.

Kama una familia, na unatarajia mtoto pia ni sababu mahususi kabisa ya kuahirisha masomo.?
 
Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.

Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.

Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.

Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.

Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
Usishuhudie UONGO amri ya 9
 
Hakuna sheria inayokulazimu utaje ugonjwa wako kwa mtu yeyote. Hiyo ni faragha.

Unachohitaji ni kwenda kwa daktari akuandikie barua inayokupa maelekezo ya kupymzika au kutokufanya kazi kwa kipindi maalumu, kipindi hicho inabidi ijumuishe na part of your study semester.

Kama una familia, na unatarajia mtoto pia ni sababu mahususi kabisa ya kuahirisha masomo.?
Asante sana, nimeshangaa sana kuna daktari anasema wanaweza kuniscan mwili wote nikasema nikae kimya kwa sababu nimeomba ushauri huwezi guide watu watoe experience gani. Lakini ile ilikuwa layperson view.
Ushauri wako ni mzuri nitaufanyia kazi.
 
Ni vema umekili kuwa wewe ni Daktari 'kishoka'. Hakuna daktari by profession anaweza andika matapishi uliyoandika hapa.
Dr Tale tale
Dr Msukuma
Wazungu sasa hivi wanatunga sheria kali za uhamiaji kwa ajili ya wapuuzi kama wewe.
 
Usikute kuna demu anakudanganya unaacha kwenda kusoma. Golden chance haziji twice

Ila wenzetu ukiwaambia unaumwa wanaweza kutaka evidence.

Usiwaambie una bawasiri tu
Usikute kweli kidem kimesema kitammisi sana 😂😂.

Nenda shule kijana.
 
Badala yake mkuu fanya kila uwezalo ni bora ukaacha familia inalala njaa ila safari uende hata kwa kukopa hela sehemu.
Mkuu wewe unaweza kufanya jambo hili? Sioni kama ni sahihi kumlaumu Sonofobia kwa hali ilipofikia.

Kama kuna mtu ambae hajawahi kupangilia mipango yake vizur, but at the end inakwenda ovyo anaweza kumlaum mwamba.

Unamlaumu ilihali hujui hali yake yake ya uchumi? Nani anagharamia masomo yake? Hali ya familia yake ipoje? then unakuja hapa kumshauri kuwa akope nauli aende aache familia ikiwa inakufa njaa, then after? what next?

Kuna wakati tujaribu kuwa na staha kwenye mambo ya msingi. Dr. Mambo Jambo kaelezea vizuri adha anayoweza kukutana nayo endapo atadanganya then wakaamua kumpima. Tulipaswa kuendelezea hapa sio kumwambia mwenzio aache familia inakufa njaa.

Sio kila wakati uonekane unajua. Kuna mengine yaache yapite.
 
Hujui unachokiongea jielimishe. Huu ni mchakato wa admission office. Mimi nikiamua kuondoka hata leo naondoka nna barua mkononi nina vigezo vyote.

Usikimbilie kujiita PhD ikiwa vitu minor kama hivi huvifahamu.
Kwanza nina mashaka unatia watu kamba tu hapa hujui lolote.

Kiswedish unasoma level gani?
 
Unataka ufindishwe uongo? Husikii aibu kiongozi?

Na huko unakotaka kwenda maisha yatakushinda mkuu, jamii za kule hawana mambo ya uongo uongo kabisa! Bora ingekuwa China au India sijui ila Scandinavian country asee Pole sana, jamaa wako so genuine.
Hawa ndio wasomi wetu tunaotegemea waje kufanya mabadiliko ya kifikra na kiutendaji katika jamii yetu.
Watatuuza mchana kweupe!
Hovyo kabisa.
 
Nimekuelewa daktari, shida ni kwamba wameniambia watanifikiria kuahirisha mwaka endapo nnayo reason ya kiafya ya kueleweka. Zaidi ya hapo nitaipoteza nafasi.
Kwamba nafasi zingine hamna kwenye vyuo vingine?

Ukiikosa endelea kutafuta kwingine kama ulivyoitafuta hiyo hadi ukaipata
 
Back
Top Bottom