Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oyaaah 🙌Ushawahi kuwa na mwanamke anayenuka kikwapa? Nampenda ila ananuka kwapa
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii. Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana. Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa...www.jamiiforums.com
Huyu demu wako utaenda nae pia?
Kiufupi mkuu hata sababu hii bado ni sababu ya kitoto sana na kuonesha namna gani haujitambui.Shule nitaenda, ila mipango haijakamilika mpaka mwakani nitakuwa tayari. Na wao wanaweza nipa nafasi kama tu nna strong health reasons.
Nimeitikia wito, lakini mimi siyo daktari wa binadamu.
Ni vema umekili kuwa wewe ni Daktari 'kishoka'. Hakuna daktari by profession anaweza andika matapishi uliyoandika hapa.Nimeitikia wito, lakini mimi siyo daktari wa binadamu.
Ila huyo jamaa anazinguwa, yeye ndio amefanya aplication, amekubaliwa excuse analeta JF, ndio maana wazungu wanatudharau sana hatuna plan.
Sasa wanaamini maroboti kwa kutumia akili mnemba ni bora kuliko kuwa na binadamu wajinga kama huyu.
Naomba usome vizuri sana maelezo yangu utaelewa nahitaji ushauri wa ni ugonjwa gani nifeki basi. Lakini watu wanaojifanya smart wamejaza vitu haviusiani kabisa na mada.Kama una sababu ya msingi wape hy sababu na ndio itakuwa vzr, ila kama huna sababu ya msingi B nenda tuu.
Anyway, em Tupe ukweli wa jambo linalokufanya ushindwe kwenda.
Mbona kama unapeleka uswahili wenu sweden...m bongo muongo muongoo..!!Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.
Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.
Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.
Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.
Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
Mkuu ubarikiwe sana kwa huu ushauri ulionipa. Una make sense sana.Chuo chochote ukitaka kuahirisha masomo kwa sababu za ugonjwa sema unaumwa KICHWA hakuna Mkuu wa Chuo atakaekataa kusainisha barua yako ya postpone sababu Kichwa ndio engine yako Wewe uwapo kwenye Safari ya masomo
Hizi ndio hasara tupuNimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.
Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.
Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.
Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.
Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
Nafikiria kuweka 'Chronic migraine'.Chuo chochote ukitaka kuahirisha masomo kwa sababu za ugonjwa sema unaumwa KICHWA hakuna Mkuu wa Chuo atakaekataa kusainisha barua yako ya postpone sababu Kichwa ndio engine yako Wewe uwapo kwenye Safari ya masomo
INASIKITISHA WALLAHNimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.
Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.
Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.
Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.
Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.
Npe connection mwakani twende woteNimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.
Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.
Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.
Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa rahisi kueleweka.
Niliwaza niweke nimefanyiwa surgery ya kibofu na recovery ni miezi mitatu. Lakini naona nipate mawazo ya watu wa afya ndio mnajua zaidi nini kina make sense. Pia isije kuwa disqualification kwenye masomo.