Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna reason tu za kiuchumi na kuweka sawa mipango home kabla sijasepa. Maana naweza ondoka mazima.Usikute kuna demu anakudanganya unaacha kwenda kusoma. Golden chance haziji twice
Ila wenzetu ukiwaambia unaumwa wanaweza kutaka evidence.
Usiwaambie una bawasiri tu
Afya ya akiliii mkuu nenda mirembe wakupe cheti ....ama hospt yoyote ya vichaa ulikoooNimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden. Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025...
Kudanganya sio kuzuri angalia namna unaweza tatua tatizo la kiuchumiNna reason tu za kiuchumi na kuweka sawa mipango home kabla sijasepa. Maana naweza ondoka mazima.
Bora Aseme ukweli tu kuwa ana tatizo la kifedha ila kusingizia Magonjwa unaweza ukabananishwa ukafanyiwa Screening ukakutwa Hukuwa na hayo magonjwa utajibu nini??
Nimekuelewa daktari, shida ni kwamba wameniambia watanifikiria kuahirisha mwaka endapo nnayo reason ya kiafya ya kueleweka. Zaidi ya hapo nitaipoteza nafasi.Bora Aseme ukweli tu kuwa ana tatizo la kifedha ila kusingizia Magonjwa unaweza ukabananishwa ukafanyiwa Screening ukakutwa Hukuwa na hayo magonjwa utajibu nini??
So Ukweli umuweka Mtu huru na Ukweli ni Vyepesi sana Kuutetea ila Uongo ni Gharama Sana kuutetea na Kuulinda..
Kwa sababu uongo ili utetewe unahitaji Uongo mwingine na uongo mwingine na mwingine na mwisho wa Siku unajikuta Umeanzisha New Personality (Strange persona) ambayo Haukuwa nayo kabla na Unakuwa Mtu fake
MkulungwaWambie kwa sasa unaumwa, "kitovu kinatoa upepo" unaomba uangalie kwanza afya walau hadi mwakani
Magonjwa yanayomfanya Mtu asisafiri Nje ya Nchi si unayajua??Nimekuelewa daktari, shida ni kwamba wameniambia watanifikiria kuahirisha mwaka endapo nnayo reason ya kiafya ya kueleweka. Zaidi ya hapo nitaipoteza nafasi.