Ubavu
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 2,790
- 3,263
"Kuingilia kimwili"Baada ya kumueleza hisia zako unataka akuingilie kimwili au?!
Hili neno sijaliskia muda kweli hapa JF..! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kuingilia kimwili"Baada ya kumueleza hisia zako unataka akuingilie kimwili au?!
sijakuelewa unamaanaisha nini?Taarifa ambazo sio rasmi jamaa anapenda kunyewa...kama upo tayari nkupe namba yake
sijui nampenda kivipi mi nietokea kumpenda tuAna Mke na watoto.
Upo tayari kwa one night stand?
Alafu funguka, unampenda kivipi? Unatamani akugegede?
Tena kaa mbali na shemeji yangu, mke wake ni shost yangu vibaya mno.sijawahi mfahamu huyu baba jamani mara ya kwanza nilimuona youtube nadhani ni last week akihojiwa na dada wa global tv... ilikuwa kama bahati mbaya tu kufungua video yake sababu mi si mtu wa masiasa sifatilii siasa... yani siasa haina nafasi katika maisha yangu ila ile nafungua tu video yake nikajikuta nasema WOW huyu baba ni handsome! sio handsame kihivyo ila ana muonekano wa kigentleman na mawazo yake pia yanaonekana ni ya kigentleman...kwa kifupi nimevutiwa nae...leo kila nikipita huko mitandaoni nakuta mapicha yake ndo kabisaaa moyo wangu umekatika vipande vipande...nikasema kwanini nife na tai shingoni ngoja nikaombe msaada wana jamii forums wanisaidie au labda na yeye ni memba wa humu atasikia kilio changu... haya sasa ndugu zangu mwenye mawasiliano ya huyu baba anipatie nimuelezee hisia zangu au mniambie nitampata vipi?
N.B nataka tu nimuelezee hisia zangu sina mengine
Jibu swali unamume ???kweli? kwani kuwa na mke au mume ndo kikwazo cha kutomueleza mtu mwingine hisia zako kwako kwake?
Nashukuru kwa kunipenda ila kwa sasa niko bussy na mambo ya chamasijawahi mfahamu huyu baba jamani mara ya kwanza nilimuona youtube nadhani ni last week akihojiwa na dada wa global tv... ilikuwa kama bahati mbaya tu kufungua video yake sababu mi si mtu wa masiasa sifatilii siasa... yani siasa haina nafasi katika maisha yangu ila ile nafungua tu video yake nikajikuta nasema WOW huyu baba ni handsome! sio handsame kihivyo ila ana muonekano wa kigentleman na mawazo yake pia yanaonekana ni ya kigentleman...kwa kifupi nimevutiwa nae...leo kila nikipita huko mitandaoni nakuta mapicha yake ndo kabisaaa moyo wangu umekatika vipande vipande...nikasema kwanini nife na tai shingoni ngoja nikaombe msaada wana jamii forums wanisaidie au labda na yeye ni memba wa humu atasikia kilio changu... haya sasa ndugu zangu mwenye mawasiliano ya huyu baba anipatie nimuelezee hisia zangu au mniambie nitampata vipi?
N.B nataka tu nimuelezee hisia zangu sina mengine
Hivi inawezekana msichana akaacha tabia ya kusagana?sijawahi mfahamu huyu baba jamani mara ya kwanza nilimuona youtube nadhani ni last week akihojiwa na dada wa global tv... ilikuwa kama bahati mbaya tu kufungua video yake sababu mi si mtu wa masiasa sifatilii siasa... yani siasa haina nafasi katika maisha yangu ila ile nafungua tu video yake nikajikuta nasema WOW huyu baba ni handsome! sio handsame kihivyo ila ana muonekano wa kigentleman na mawazo yake pia yanaonekana ni ya kigentleman...kwa kifupi nimevutiwa nae...leo kila nikipita huko mitandaoni nakuta mapicha yake ndo kabisaaa moyo wangu umekatika vipande vipande...nikasema kwanini nife na tai shingoni ngoja nikaombe msaada wana jamii forums wanisaidie au labda na yeye ni memba wa humu atasikia kilio changu... haya sasa ndugu zangu mwenye mawasiliano ya huyu baba anipatie nimuelezee hisia zangu au mniambie nitampata vipi?
N.B nataka tu nimuelezee hisia zangu sina mengine
Absolutely .Huyu jamaa anahitajika Tanzania kwa dharura kuja kufanya reformation kwenye akili za baadhi ya raia
![]()
Yule mwananke aliyemzidi umri Masha halafu ni Poligon ile mbaya................!!!Huyo ni shemeji yangu ana mke na watoto wa3 na anampenda mkewe mfano hakuna..tuliza mshono
Dah hivi hamna aliyenipenda mimi baba swalehe jamaniMfate pm kwake
Mama SwaleheDah hivi hamna aliyenipenda mimi baba swalehe jamani
Mama Swalehe
mbulukenge ndo id yakesijui id yake ya jf...kama unaijuwa nisaidie basiii