Mnisaidie nimetokea kumpenda lawrence masha

Mnisaidie nimetokea kumpenda lawrence masha

sijawahi mfahamu huyu baba jamani mara ya kwanza nilimuona youtube nadhani ni last week akihojiwa na dada wa global tv... ilikuwa kama bahati mbaya tu kufungua video yake sababu mi si mtu wa masiasa sifatilii siasa... yani siasa haina nafasi katika maisha yangu ila ile nafungua tu video yake nikajikuta nasema WOW huyu baba ni handsome! sio handsame kihivyo ila ana muonekano wa kigentleman na mawazo yake pia yanaonekana ni ya kigentleman...kwa kifupi nimevutiwa nae...leo kila nikipita huko mitandaoni nakuta mapicha yake ndo kabisaaa moyo wangu umekatika vipande vipande...nikasema kwanini nife na tai shingoni ngoja nikaombe msaada wana jamii forums wanisaidie au labda na yeye ni memba wa humu atasikia kilio changu... haya sasa ndugu zangu mwenye mawasiliano ya huyu baba anipatie nimuelezee hisia zangu au mniambie nitampata vipi?

N.B nataka tu nimuelezee hisia zangu sina mengine
Tena kaa mbali na shemeji yangu, mke wake ni shost yangu vibaya mno.
 
Huyu jamaa anahitajika Tanzania kwa dharura kuja kufanya reformation kwenye akili za baadhi ya raia
asdf-jpeg.630634
 
Ila wanasema ana kibamia maana mwanaume kukimbia mapambano si mchezo
Je utakivumilia
 
sijawahi mfahamu huyu baba jamani mara ya kwanza nilimuona youtube nadhani ni last week akihojiwa na dada wa global tv... ilikuwa kama bahati mbaya tu kufungua video yake sababu mi si mtu wa masiasa sifatilii siasa... yani siasa haina nafasi katika maisha yangu ila ile nafungua tu video yake nikajikuta nasema WOW huyu baba ni handsome! sio handsame kihivyo ila ana muonekano wa kigentleman na mawazo yake pia yanaonekana ni ya kigentleman...kwa kifupi nimevutiwa nae...leo kila nikipita huko mitandaoni nakuta mapicha yake ndo kabisaaa moyo wangu umekatika vipande vipande...nikasema kwanini nife na tai shingoni ngoja nikaombe msaada wana jamii forums wanisaidie au labda na yeye ni memba wa humu atasikia kilio changu... haya sasa ndugu zangu mwenye mawasiliano ya huyu baba anipatie nimuelezee hisia zangu au mniambie nitampata vipi?

N.B nataka tu nimuelezee hisia zangu sina mengine
Nashukuru kwa kunipenda ila kwa sasa niko bussy na mambo ya chama
 
sijawahi mfahamu huyu baba jamani mara ya kwanza nilimuona youtube nadhani ni last week akihojiwa na dada wa global tv... ilikuwa kama bahati mbaya tu kufungua video yake sababu mi si mtu wa masiasa sifatilii siasa... yani siasa haina nafasi katika maisha yangu ila ile nafungua tu video yake nikajikuta nasema WOW huyu baba ni handsome! sio handsame kihivyo ila ana muonekano wa kigentleman na mawazo yake pia yanaonekana ni ya kigentleman...kwa kifupi nimevutiwa nae...leo kila nikipita huko mitandaoni nakuta mapicha yake ndo kabisaaa moyo wangu umekatika vipande vipande...nikasema kwanini nife na tai shingoni ngoja nikaombe msaada wana jamii forums wanisaidie au labda na yeye ni memba wa humu atasikia kilio changu... haya sasa ndugu zangu mwenye mawasiliano ya huyu baba anipatie nimuelezee hisia zangu au mniambie nitampata vipi?

N.B nataka tu nimuelezee hisia zangu sina mengine
Hivi inawezekana msichana akaacha tabia ya kusagana?
Hii tabia ulisha iacha?
 
Dada umejipanga kueneza gono, pambana na maukimwi yako
 
Huyo ni shemeji yangu ana mke na watoto wa3 na anampenda mkewe mfano hakuna..tuliza mshono
Yule mwananke aliyemzidi umri Masha halafu ni Poligon ile mbaya................!!!

MASHA ndio watu walioifilisi TOL Gases share zake hazina gawio mpaka leo........!!
 
Back
Top Bottom