Mnishauri Wadau

GARETHBALE

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
76
Reaction score
333
Wadau,

Naomba mnishauri, mimi ni muajiriwa wa selikali, natamani sana kufanya biashara, mtaji kwangu sio tatizo basi, lakini nakosa biashara ya kufanya, mda mwingi nashinda kazini, nilishajaribu biashara tofauti kwa kuwatumia watu wote walinidhurumu, sasa nifanyeje?

Naomba ushauri wadau.
 

Kama una mtaji fanya kilimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…