GARETHBALE
Member
- Dec 22, 2013
- 76
- 333
Wadau,
Naomba mnishauri, mimi ni muajiriwa wa selikali, natamani sana kufanya biashara, mtaji kwangu sio tatizo basi, lakini nakosa biashara ya kufanya, mda mwingi nashinda kazini, nilishajaribu biashara tofauti kwa kuwatumia watu wote walinidhurumu, sasa nifanyeje?
Naomba ushauri wadau.
Naomba mnishauri, mimi ni muajiriwa wa selikali, natamani sana kufanya biashara, mtaji kwangu sio tatizo basi, lakini nakosa biashara ya kufanya, mda mwingi nashinda kazini, nilishajaribu biashara tofauti kwa kuwatumia watu wote walinidhurumu, sasa nifanyeje?
Naomba ushauri wadau.