Mnivumilie bado mgeni humu JF

nini kipimo cha kuwa great thinker..?
 
Anza kwanza kutoa Tafsir ya Amadoli,ukimaliza hyo Tupe ya Pombe Magufuli af Malizia ya Mizengo Pinda kisha na mm nitaleta ya Tumpara Dudu.

[HASHTAG]#SAMAHANI[/HASHTAG] KWA USUMBUFU UTAKAOUPATA NDUGU#
hapa hakuna mgeni hapa,
kama una kamba mguuni tuonyeshe!!!
 
sawa
 
Jukwaa La Great thinkers mpaka utume maombi ya kuungwa kule sio unaingia kichwakichwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…