Mnofu Kwa Wenye Meno na Wasio nayo...boneless!!!!!!!

Duh Mtoto Masharah!!!Mbona tunaharibiana siku!
 
Mbona nasi twaitwa 'mabuzi' hatulalamiki kudhalilishwa? au mbuzi hauzwi buchani?

lalamika ukipenda ...............:]

ila kumfananisha mwanamke specific kuwa sawa na nyama inayouzwa dukani ni kumdhalilisha.
 
lalamika ukipenda ...............:]

ila kumfananisha mwanamke specific kuwa sawa na nyama inayouzwa dukani ni kumdhalilisha.

Mtazamo wako....wengine si hivo...kwa kuwa mwanamke huliwa ndio maana anafananishwa na mnofu...na mwanaume aliwaye hufananishwa na ubwawa...no big deal
 
Mtazamo wako....wengine si hivo...kwa kuwa mwanamke huliwa ndio maana anafananishwa na mnofu...na mwanaume aliwaye hufananishwa na ubwawa...no big deal

Mkuu hapo umenimaliza mbavu zangu,kumbe siku hizi kuna watu wanaliwa,mbona naogopa sasa mie ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…