Mnyama gani anafaa rasmi kwendana na timu ya Yanga?

Ntu.
 
 
imagine simba wakiwa na guvu moja+7bilioni anapigwa middle finger 5 na moja kati ya wanyama
1. Chura
2. Bata
3. Nyoka
4. Kenge
5. Paka
6. Sungura
7. Fisi
8. Mbwa Mwitu
9. Nyani

ni aibu la kweli....
 
Pimbi
 
FARU
 
Tembo
 
Mada za kiduwanzi namna hii mods wanapaswa kuzifuta
 
Ili kujiunga na mbumbumbu unabonyeza kitufe gani vile
 
Ili kujiunga na mbumbumbu unabonyeza kitufe gani vile
 
imagine simba wakiwa na guvu moja+7bilioni anapigwa middle finger 5 na moja kati ya wanyama

ni aibu la kweli....
Finger tano hicho ni kibao cha usoni ila finger moja hiyo inaingia vizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…