OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Moja ya AGM walimpitisha Chura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni briiii...briiii...griiiii!
Kroooh krooh kroohYaani ni briiii...briiii...griiiii!
Tropolooo, tropolooo, tropolooKroooh krooh krooh
Moja ya AGM walimpitisha Chura
Mimi ni yanga ila chura anatupendeza sana na ukiangulia the way akili zetu zilivyo chura anatufaa 100%
Chura linampendeza mnoooo....au nyoka basi maana kwa fitna tuu hawajambo...
CHURA, ILA ALIYEKATWA MGUU.
Ndugu zetu wako nje ya muda sana, tujaribu kuwasaidia watoke usingizini. Imagine mpaka leo wanatumia logo ile yenye wacheza mdako na waruka kamba. Hersi ana kazi kubwa saaanaYaani ni briiii...briiii...griiiii!
Bata mzinga unalionaje likiwakilisha mnyama wa yanga..?Haitumii nguvu kubwa kujua kama mtu ni Dunduka bali angalia content ya Uzi wake na kwa maelezo zaidi rejea kauli ya Rage .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kroooh krooh krooh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kroooh krooh krooh
SimbaEmbu tuweke utani pembeni.
Duniani kote kuanzia vilabu hadi timu za taifa, kuanzia katika soka, basketball hadi American Football na michezo mingine ni kawaida timu kubwa kujilinganisha na mnyama fulani anayebeba mfanano wa falsafa na haiba ya ile timu.
Kuna timu zimeweka mnyama wao katika jina la timu, wengine katika logo, wengine wanajihusisha na mnyama huyo katika jina la utani la timu.
Embu tuwasaidie Yanga Afrika katika kuwaleta kwenye usasa kwa kupata mnyama sahihi wa kwendana nao. Kama mnyama unayedhani anawafaa hayupo katika list ya kwenye poll, mtaje kwenye comment.
1. Chura
2. Bata
3. Nyoka
4. Kenge
5. Paka
6. Sungura
7. Fisi
8. Mbwa Mwitu
9. Nyani
10. Mwingine......
Huyo chura atakuwa ni mangungu.Naona kuna mods watakuwa ni Utopolo, wameondoa list yangu. Kwenye Poll niliweka:
1. Chura
2. Bata
3. Nyoka
4. Kenge
5. Paka
6. Sungura
7. Fisi
8. Mbwa Mwitu
9. Nyani
10. Mwingine......
Binadamu mwenye akili timamu, unaanzaje kujiita jina la mnyama!! Huu si uwendawazimu wa wazi kabisa!!Embu tuweke utani pembeni.
Duniani kote kuanzia vilabu hadi timu za taifa, kuanzia katika soka, basketball hadi American Football na michezo mingine ni kawaida timu kubwa kujilinganisha na mnyama fulani anayebeba mfanano wa falsafa na haiba ya ile timu.
Kuna timu zimeweka mnyama wao katika jina la timu, wengine katika logo, wengine wanajihusisha na mnyama huyo katika jina la utani la timu.
Embu tuwasaidie Yanga Afrika katika kuwaleta kwenye usasa kwa kupata mnyama sahihi wa kwendana nao. Kama mnyama unayedhani anawafaa hayupo katika list ya kwenye poll, mtaje kwenye comment.
1. Chura
2. Bata
3. Nyoka
4. Kenge
5. Paka
6. Sungura
7. Fisi
8. Mbwa Mwitu
9. Nyani
10. Mwingine......
Aisee Rage aliwaza mbali sana.Haitumii nguvu kubwa kujua kama mtu ni Dunduka bali angalia content ya Uzi wake na kwa maelezo zaidi rejea kauli ya Rage .
Kwa hiyo Yanga ni binadamu bloangu??,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Binadamu mwenye akili timamu, unaanzaje kujiita jina la mnyama!! Huu si uwendawazimu wa wazi kabisa!!
Acha kufananisha huyo mdudu na vitu vya ajabu mkuuNaona nguruwe Iko poa sana.
Vijana wa Mangungu bhana!!Kwa hiyo Yanga ni binadamu bloangu??,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣