Mnyama gani anafaa rasmi kwendana na timu ya Yanga?

Mnyama gani anafaa rasmi kwendana na timu ya Yanga?

Moja ya AGM walimpitisha Chura
Mimi ni yanga ila chura anatupendeza sana na ukiangulia the way akili zetu zilivyo chura anatufaa 100%

Chura linampendeza mnoooo....au nyoka basi maana kwa fitna tuu hawajambo...
CHURA, ILA ALIYEKATWA MGUU.

Yaani ni briiii...briiii...griiiii!
Ndugu zetu wako nje ya muda sana, tujaribu kuwasaidia watoke usingizini. Imagine mpaka leo wanatumia logo ile yenye wacheza mdako na waruka kamba. Hersi ana kazi kubwa saaana
 
Embu tuweke utani pembeni.

Duniani kote kuanzia vilabu hadi timu za taifa, kuanzia katika soka, basketball hadi American Football na michezo mingine ni kawaida timu kubwa kujilinganisha na mnyama fulani anayebeba mfanano wa falsafa na haiba ya ile timu.

Kuna timu zimeweka mnyama wao katika jina la timu, wengine katika logo, wengine wanajihusisha na mnyama huyo katika jina la utani la timu.

Embu tuwasaidie Yanga Afrika katika kuwaleta kwenye usasa kwa kupata mnyama sahihi wa kwendana nao. Kama mnyama unayedhani anawafaa hayupo katika list ya kwenye poll, mtaje kwenye comment.

1. Chura
2. Bata
3. Nyoka
4. Kenge
5. Paka
6. Sungura
7. Fisi
8. Mbwa Mwitu
9. Nyani
10. Mwingine......
Simba
 
Naona kuna mods watakuwa ni Utopolo, wameondoa list yangu. Kwenye Poll niliweka:
1. Chura
2. Bata
3. Nyoka
4. Kenge
5. Paka
6. Sungura
7. Fisi
8. Mbwa Mwitu
9. Nyani
10. Mwingine......
Huyo chura atakuwa ni mangungu.
 
Embu tuweke utani pembeni.

Duniani kote kuanzia vilabu hadi timu za taifa, kuanzia katika soka, basketball hadi American Football na michezo mingine ni kawaida timu kubwa kujilinganisha na mnyama fulani anayebeba mfanano wa falsafa na haiba ya ile timu.

Kuna timu zimeweka mnyama wao katika jina la timu, wengine katika logo, wengine wanajihusisha na mnyama huyo katika jina la utani la timu.

Embu tuwasaidie Yanga Afrika katika kuwaleta kwenye usasa kwa kupata mnyama sahihi wa kwendana nao. Kama mnyama unayedhani anawafaa hayupo katika list ya kwenye poll, mtaje kwenye comment.

1. Chura
2. Bata
3. Nyoka
4. Kenge
5. Paka
6. Sungura
7. Fisi
8. Mbwa Mwitu
9. Nyani
10. Mwingine......
Binadamu mwenye akili timamu, unaanzaje kujiita jina la mnyama!! Huu si uwendawazimu wa wazi kabisa!!
 
Back
Top Bottom