Mnyama huyu ana sifa zipi anuwai?

Mnyama huyu ana sifa zipi anuwai?

mheshimiwamtemi

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2014
Posts
291
Reaction score
218
pic_down1668248667577.jpg
 
Kuna jamii tatu za tambo.

Africa savannah, African forest na tembo wa Asia.

Unaweza watofautisha kwakuangalia masikio yao. African savannah na africa forest masiko yao ni kama ramani ya bara la africa vile lakini pia makubwa zaidi ya tembo wa Asia. Kwa upande mwingine tembo wa Asia masikio yako yanafanana na india-subcontinent.

Tembo hasahau. Anahitaji memory kubwa kukumbuka vyanzo vya maji, chakula, kufahamu maadui/marafiki. Pia sehemu ya ubongo inayohusu kumbukumbu temporal lobe ni kubwa zaidi ya binadamu, hiyo inamfanya awe na kumbukumbu ajabu.

Tembo anatumia 3/4 ya maisha yake kula. Anahitaji 150kg hivi za msosi kila siku.

Usimchokoze tembo, akianza kukukimbiza atakukamata dak chache tu.

Tembo anaishi miaka 65 porini na 80 akiwa kwenye captivity
 
Kuna jamii tatu za tambo.

Africa savannah, African forest na tembo wa Asia.

Unaweza watofautisha kwakuangalia masikio yao. African savannah na africa forest masiko yao ni kama ramani ya bara la africa vile lakini pia makubwa zaidi ya tembo wa Asia. Kwa upande mwingine tembo wa Asia masikio yako yanafanana na india-subcontinent.

Tembo hasahau. Anahitaji memory kubwa kukumbuka vyanzo vya maji, chakula, kufahamu maadui/marafiki. Pia sehemu ya ubongo inayohusu kumbukumbu temporal lobe ni kubwa zaidi ya binadamu, hiyo inamfanya awe na kumbukumbu ajabu.

Tembo anatumia 3/4 ya maisha yake kula. Anahitaji 150kg hivi za msosi kila siku.

Usimchokoze tembo, akianza kukukimbiza atakukamata dak chache tu.

Tembo anaishi miaka 65 porini na 80 akiwa kwenye captivity
hanikuti aisee hata afanyaje
 
Wana kilo 6,000 wa Africa na wanazaa baada ya miezi 22
Wana kumbukumbu sana
Wanajua hadi mifupa ya ndugu zao au wazazi
Pia wanaomboleza na kulia
 
Back
Top Bottom