sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Salamu wanamichezo.
Leo ndo ile siku tuliyokua tukiisubiri kwa hamu sana, pale Mnyama mkali kabisa mwituni, Simba SC atakapokua akipambana na timu bora kabisa toka nchini Kenya, AFC Leopards mida ya saa 12 kamili usiku.
Ikumbukwe kua Simba SC ya msimu huu inauwezo wa kushiriki ligi kuu za Kenya, Uganda na Tanzania kwa wakati mmoja na pote ikachukua ubingwa, na hii inatokana na ubora na ukubwa wa kikosi chake kwa sasa. Hivyo kukosekana kwa baadhi ya wachezaji si pengo hata kidogo.
Mara ya mwisho Mnyama alipokutana na hao jamaa wa Kenya, wakiwa katika kiwango bora kabisa aliwagonga nne kavu.. Leo naiona mvua ya magoli.
Pia ule mchezo wa Timu ya Taifa ya Uganda a.k.a The Cranes dhidi ya wachezaji toka nchini Tanzania.. ambao utarushwa mbashara kupitia kituo cha ZBC 2 utauona live kupitia Big Screen iliyopo uwanjani.
Karibuni Taifa Stadium, Kwenye Show Ya Mnyama.
Leo ndo ile siku tuliyokua tukiisubiri kwa hamu sana, pale Mnyama mkali kabisa mwituni, Simba SC atakapokua akipambana na timu bora kabisa toka nchini Kenya, AFC Leopards mida ya saa 12 kamili usiku.
Ikumbukwe kua Simba SC ya msimu huu inauwezo wa kushiriki ligi kuu za Kenya, Uganda na Tanzania kwa wakati mmoja na pote ikachukua ubingwa, na hii inatokana na ubora na ukubwa wa kikosi chake kwa sasa. Hivyo kukosekana kwa baadhi ya wachezaji si pengo hata kidogo.
Mara ya mwisho Mnyama alipokutana na hao jamaa wa Kenya, wakiwa katika kiwango bora kabisa aliwagonga nne kavu.. Leo naiona mvua ya magoli.
Pia ule mchezo wa Timu ya Taifa ya Uganda a.k.a The Cranes dhidi ya wachezaji toka nchini Tanzania.. ambao utarushwa mbashara kupitia kituo cha ZBC 2 utauona live kupitia Big Screen iliyopo uwanjani.
Karibuni Taifa Stadium, Kwenye Show Ya Mnyama.