Shupaza... oloronyo saiguran ni bwabwa jingine hapa JF!! hana cha zaidi ukiondoa umbea na hasa unaohusu wafadhili wake wa hizi town errandsSasa hii breaking news inatoka wapi
when you think you have one BWABWA in the house... think twice!!Umbea SUNNA babuuu
issue sio kabila... issue ni tabia mazee!!!Tangu lini original Maasai akawa BWABWA? Acha bwana\Bibi. Nasema Piriodi
hilo jina la mnyange linaniboa mpaka basi..
Sijui limetoka wapi?
Mrembo au mlimbwende ndo inafaa
mnyange utesema mke wa mganga hivi.....
Haya ni makubwa haswa,au kapata mume?leteni habari basi.
mambo ya maendeleo kama yapi nchi hii...labda tufanye siasa?Tusiligeuze hili jamvi kama magazeti ya udaku jamani.,akipata mume au akiachwa si ni maisha yake sisi yanatusaidia nini?..hebu huu muda wa kufuatilia story za udaku tufanye mambo mengine ya maendeleo.
hilo jina la mnyange linaniboa mpaka basi..
sijui limetoka wapi?
mrembo au mlimbwende ndo inafaa
mnyange utesema mke wa mganga hivi.....
hilo jina la mnyange linaniboa mpaka basi..
sijui limetoka wapi?
mrembo au mlimbwende ndo inafaa
mnyange utesema mke wa mganga hivi.....
Kaka sasa hilo si jina lake, hata kama akiitwa mrembo lakini bado mnyange is her family????? name, ahahahahaaaaaa, we unaogopa jina lilivo baya, hakuna shida kaka hatuangalii ubaya wa jina, tunaangalia what is behind the scene.
Tangu lini original Maasai akawa BWABWA? Acha bwana\Bibi. Nasema Piriodi
Aliyewahi kuwa Mnyange maarufu wa enzi hizo,Bi.Aminata Keita hivi sasa ninapoleta habari hizi anajifanyia chicken\Kitchen party yake mwenyewe maeneo ya K,nyama Mabatini,baadhi ya marafiki zake wamedai baada ya mnyange huyo kupiga "Besela"za mara kwa mara kwa kutapeleliwa na wanaume wa mujini amejifanyia shughuli hiyo ili kuondoa GUNDU.