Mnyange Aminata Keita ajifanyia Kitchen party

Mnyange Aminata Keita ajifanyia Kitchen party

Sasa hii breaking news inatoka wapi
Shupaza... oloronyo saiguran ni bwabwa jingine hapa JF!! hana cha zaidi ukiondoa umbea na hasa unaohusu wafadhili wake wa hizi town errands
 
Haya ni makubwa haswa,au kapata mume?leteni habari basi.

Tusiligeuze hili jamvi kama magazeti ya udaku jamani.,akipata mume au akiachwa si ni maisha yake sisi yanatusaidia nini?..hebu huu muda wa kufuatilia story za udaku tufanye mambo mengine ya maendeleo.
 
Naona jamvi linataka kuwa kama ukumbi wa umbea, yaani kama vile akina mama wa uswazi wanapotandika mkeka na kuanza kupeana umbea hadi ule wa ndani (hapo unafahamu namaanisha nini). Hapa sasa nashauri mods mkipita mkikuta habari ambazo zinashusia jamvi hadhi yake ya "Home of Great Thinkers" basi ipelekwe kwenye dust bin!

Bottom line, naona hasimu wa huyu binti ndiye ametupa huu udaku hapa. Peleka Global Publishers. Na kwa ufupi, raha jipe mwenyewe!!! Kwani aliwaomba mchango jamani.
 
Tusiligeuze hili jamvi kama magazeti ya udaku jamani.,akipata mume au akiachwa si ni maisha yake sisi yanatusaidia nini?..hebu huu muda wa kufuatilia story za udaku tufanye mambo mengine ya maendeleo.
mambo ya maendeleo kama yapi nchi hii...labda tufanye siasa?
 
hilo jina la mnyange linaniboa mpaka basi..
sijui limetoka wapi?
mrembo au mlimbwende ndo inafaa
mnyange utesema mke wa mganga hivi.....

Kaka sasa hilo si jina lake, hata kama akiitwa mrembo lakini bado mnyange is her family????? name, ahahahahaaaaaa, we unaogopa jina lilivo baya, hakuna shida kaka hatuangalii ubaya wa jina, tunaangalia what is behind the scene.
 
hee makubwa haya.Kicheni pati ya nini tena kuna asililolijiua au ndio fomalitizi?
 
hilo jina la mnyange linaniboa mpaka basi..
sijui limetoka wapi?
mrembo au mlimbwende ndo inafaa
mnyange utesema mke wa mganga hivi.....


Umenichekesha sana The Boss. Eti mnyange utadhani mke wa mganga....! Hahahahahah!
 
Kaka sasa hilo si jina lake, hata kama akiitwa mrembo lakini bado mnyange is her family????? name, ahahahahaaaaaa, we unaogopa jina lilivo baya, hakuna shida kaka hatuangalii ubaya wa jina, tunaangalia what is behind the scene.

KHAAAAAAAAAAA!!!!!
heheeeeee kazi kweli kweli!!!!
 
Namkumbuka huyu miss aliwahi kuwa pale IFM alikuwa benett na jamaa mmoja pale IFM aliyekuwa akionekana dhahiri kwamba ni shoga....ingawa kijana yule kwa taarifa nilizonazo ni kwamba alishatangulia mbele za haki...
 
Jamani taratibu, is this the home of great thinkers? hebu tujadili mambo ya msingi, i thought great thinkers discuss about issues and not people, au ndo great thinkers wa Bongo? Tuna mambo mengi ya msingi ya kujadiliana hapa.
 
hiyo haisadii kama wa gundu ni wa gundu tuuu, kikubwa ni kusubiri wa ukweli kuliko kuwaendekeza hao matapeli wa mapenzi waliotapakaa mujini kama michanga
 
Aliyewahi kuwa Mnyange maarufu wa enzi hizo,Bi.Aminata Keita hivi sasa ninapoleta habari hizi anajifanyia chicken\Kitchen party yake mwenyewe maeneo ya K,nyama Mabatini,baadhi ya marafiki zake wamedai baada ya mnyange huyo kupiga "Besela"za mara kwa mara kwa kutapeleliwa na wanaume wa mujini amejifanyia shughuli hiyo ili kuondoa GUNDU.

Huyu Binti alikuwa hajatulia mpaka kwa yule tapeli wa Ki angola alikuwa hakosekani, naye kijana Kizogunz kaubeba sana msalaba wa chuma huu. ameacha kuvuta fegi huyu mnyange
 
Back
Top Bottom